Kyooma
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 224
- 98
Wazima wakuu. naitaji kuchimba kisima maeneo ya VIGWAZA MBUYUNI naomba mwenye kujua gharama za pale kwa wale wenye uzoefu na maeneo ya uko. pia naomba mwenye contact za company za uchimbaji .kuna uzi kipindi cha nyuma nlisoma unahusu gharama za kuchimba visima maeneo mbalimbali naomba anaeweza ku attach anisaidie apa. Natanguliza shukurani