Hodi,
Natafuta chumba cha self-contained hapa Dar, mimi ni mkazi wa kudumu...ila kwakuwa ndo nimeanza kazi (nimetolewa mkoani na Kampuni), naomba ntaanza kwa kulipa kodi ya mwezi mmoja mmoja hadi bada ya miezi 3 au 4 hivi ndo tuanze kodi ya miezi 3 au 6.
Karibu PM.
Natafuta chumba cha self-contained hapa Dar, mimi ni mkazi wa kudumu...ila kwakuwa ndo nimeanza kazi (nimetolewa mkoani na Kampuni), naomba ntaanza kwa kulipa kodi ya mwezi mmoja mmoja hadi bada ya miezi 3 au 4 hivi ndo tuanze kodi ya miezi 3 au 6.
Karibu PM.