Nikifaa ambacho kina kazi mbili. kazi ya kwanza ni kwaajiri ya ulinzi (security) kita kushtua pale endapo mtu ataingia ndani kwako pasipo ruhusa yako wakati ukiwa umelala. Kazi ya pili ni mawasiliano (communication) kipindi ukiwa ndani itasaidia mtu wa nje kukupigia hodi kupitia switch utakayo iweka nje ya mlango wako.