Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

NINA KILO 50 ZA MICRO WAX KWA ANAYEHITAJI ANIFATE PRIVATE KWA BEI NA MAELEZO MENGINE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kuagiza incubator ya mayai 1000 china,vipi kuhusu ushuru wa kodi ifikapo tanzania mwenye kujua kuhusu kodi anieleweshe ili niwe na uhakika
1 Reactions
0 Replies
2K Views
anza-mwamba academy center tunafundisha program ya pre-form v na wanaorisiti kwa mwaka 2018 masomo yanayofundishwa kwa pre-form v ni: 1. advanced chemistry 2.advanced biology 3.advanced physics...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Registration Number: T832CVJ *VEHICLE DETAILS* Make: Toyota Model: Passo Model Number: DBA-KGC10 Body Type: Station Wagon Colour: Blue Class: Light Passenger Vehicle (Less than 12...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari jf! Mada inajieleza.Kozi ninazotoa ni kumuandaa bint katika maisha ya ndoa.Kumpa mbinu za kuishi na mume bila migogoro. Kumfundisha sex position nzuri zitakazo mpagawisha mumeo...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wakuu!! Poleni kwa mihangaiko ya kujitafutia riziki. Leo nakuja kwenu kuwatangazia moja kati ya huduma zitolewazo na Kampuni yetu ya Goodlife Holdings Ltd. Tunahusika na shughuli za...
0 Reactions
0 Replies
44K Views
kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa 1734 sqm kipo chanika (ukipanda basi la chanika unashuka kituo kinaitwa Kwa Sadala) kina hati ya umiliki na hakina mgogoro, kiko 300m au pungufu kutoka barabara kuu...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Kwa mwenye ilo aina ya iyo friji tajw apo juu tuwasiliane mimi naliitaji liwe used 0717461661 0621185717 Ama nitumie picha watsap kupitia iyo no ya halotel 0621185717
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Bb passport silver edition 250000,price fixed,gb32, ram 2gb,ipo bukoba popote natuma 0752 157 884.
0 Reactions
1 Replies
602 Views
Habari wana jamii Nahitaji nyumba ya kupanga! Iwe ya kuanzia vyumba viwili kimoja kikiwa master itapendeza! Iwe na uzio na iwe ya kupendeza, maji ni muhimu! Maeneo ni Kimara kuja mpaka ubungo, au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta Display ya iPhone 6s used (original). Mwenyenayo tuonane PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Majina ya uhamisho wa watumishi wa umma awamu ya pili yanatoka lini
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Najua ni wengi wanakereka na hili,lakini zipo njia nzuri za kuweka mwili sawa, FITNESS EMPIRE tunakuletea kifaa rahisi kwa mazoezi ukiwa nyumbani kifaa ambacho unaweza fanya mazoezi ya mwili mzima...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Somo linajieleza hapo juu niko Geita Natafuta pikipiki ya kununua ya bei ndogo iliyotumika kidogo hata miezi kadhaa au mwaka 1 Aina ya Boxer au Tvs Iwe na vielelezo vyote Nahitaji Kwa shughuli...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, kama title ijielezavyo mimi najihusisha na ununuaji wa alizeti na kukamua mafuta kisha kuuza mafuta na mashudu kwa bei ya jumla, Kwa sasa napata changamoto ya mtaji kwa sababu...
4 Reactions
25 Replies
10K Views
Vitu vifuatavyo vinauzwa kwa pamoja: Mabati 65 ya kawaida ya mita 3 Nyumba moja ya vyumba vitatu iliyopo Chanika Dar es Salaam Nyumba mbili zilizofika kwenye lenta moja ina vyumba vitatu jiko...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Natafuat recycled paper kwa ajili kutoa copy za mitihani nahitaji kwa katoni. Hii ni baada ya bei ya karatasi za kawaida kuwa juu kiasi cha kushinda kuendesha biashara hii. Aina ya karatasi ni A4...
0 Reactions
1 Replies
627 Views
Kwa wale wafugaji wa kuku walioko Arusha tuwasiliane pm kama uko tayari kwa biashara
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Maziwa fresh na mtindi ya ng'ombe wa kienyeji pure Hakuna kuweka maji hapa na ruksa kupima kama yana maji napokea order kuanzia lita tano naleta mpaka ulipo bei mtindi lita...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni kampuni bora kabisa tunatoa huduma zetu vizuri na warrant ya miaka mitatu yaani pakitokea tatizo tutafanya marekebisho bure ndani ya miaka mitatu ni cctv camera, za wire na wireless, pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Back
Top Bottom