Nimekuwa hapa siku nyingi bila kujitambulisha..

Ehud

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
2,685
335
Wenyeji wangu wazima jamani? Dah niko hapa kitambo ila nilijisahau sikupitia haka ka utaratibu..leo naona nijitambulishe rasmi...hope hamtakasirika sana wakubwa.
 

Ngalikihinja

JF-Expert Member
Sep 1, 2009
27,942
24,198
Wenyeji wangu wazima jamani? Dah niko hapa kitambo ila nilijisahau sikupitia haka ka utaratibu..leo naona nijitambulishe rasmi...hope hamtakasirika sana wakubwa.
Wakati wa kutoka toilet huwa hatupigi hodi...........ni wakati wa kuingia tu ndo tunafanya hivyo
 

Ndachuwa

JF-Expert Member
Mar 8, 2006
6,271
4,544
Tuko pamoja jisikie uko huru kutoa michango yako kwa lugha ya kistaha
 

WiseLady

JF-Expert Member
Jan 22, 2010
3,269
529
Pamoja sana mkuu,lkn nini kinakutatiza hivyo hapo kny avatar yako usaidiwe?
 

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Dec 13, 2009
3,407
266
avatar9303_1.gif
karibu sana man but unawaza nini? au unamsikitikia kikwete?
 

domo kweli

Member
Nov 5, 2010
11
0
Hapa ni kumwaga mavitu ya uhakika kwa maendeleo ya nchi hii, umbeya, fitina na mjungu thru maandiko kwenye JF ni mwiko. huna ulilokosea labda ulikuwa ukijifua before hujatinga rasmi
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom