Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimekuja rasmi kujadili mada mbalimbali kwenye JF. Tafadhali nipokeeni:coffee:
0 Reactions
1 Replies
766 Views
WANAJF tuko pamoja sana kwenye forum hii ya kijanja nimekuwa nikiitembelea mara kwa mara sasa nimeona nijitupe uwanjani rasmi.Naomba ushirikiano wenu wakongwe pamoja na wachanga wenzangu.PAMOJA SANA
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nina kila sababu ya kutanguliza salaam zangu za heshima kwa wanajamii wote,kwa muda nimekuwa nikifuatilia thread mbalimbali humu JF kabla ya kujiregister rasmi.Kutokana na msisimko niliokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kabla sijawaomba wahusika wanibadilishie jina, naomba mwemye jina zuri ani pendekezee hapa. Tabutupu naona si jina zuri. Hata la kienyeji ili mradi unipe maana yake. Asanteni.
0 Reactions
82 Replies
8K Views
Compliments of the new season! Waungwana bila shaka mmeuanza mwaka mpya 2011 kwa matumaini. Naomba kuungana nanyi katika kulisukuma hili gurudumu la jamii. Asanteni:A S thumbs_up:
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Naomba karibu yenu wadau.
0 Reactions
1 Replies
743 Views
Hodini wana JF; kiukweli nawakubali wana JF Great Thinkers. ndo maana napiga hodi kuingia humu ndani ili uwepo wangu muutambue. Nikaribisheni na heri ya mwaka mpya wote.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Yes members!! I am the only I am and you are yourself in the self. Only the truth will make you yourself. Tuseme ukweli maana ni kwa huo tu ambao hata maadui wengi huunganishwa, regardless time...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello boyz&galz,ladiez&gentz,mumiez&dadiez asalaam aleykum.me ni mwanaharakati,naomba kutambulika jamvini!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
hi everyone, am new in this forum.. i believe the best people are in here. am hoping to learn and have a good time too. so let it begin...
0 Reactions
2 Replies
978 Views
Nimekuwa msomaji wa jamvi hili kwa muda sasa. Nimevutiwa nalo.Linastahiki sifa nyingi, lakini kwa leo itoshe kupiga hodi nikiwa mwanachama mpya, ili nipate kukaa kwenye baraza. WanaJF kazi nzuri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natanguliza heshima kwa wanajamii wote. Mtaokarimu ujio wangu kwa neno la karibu kwa niaba ya mlionitangulia humu, ukarimu wenu ni tafsiri tosha kwamba wanajamii wanafurahi kupokea changamoto mpya.
0 Reactions
2 Replies
912 Views
wanajamii forum, i salute you! mimi ni mgeni JF, nipokeeni plz! looking forward to this... :cheer2::cheer2::cheer2::cheer2: but i just cant decide which topic to put up first!!! so, ngoja tu...
0 Reactions
3 Replies
998 Views
jamani vipi tena kuhusu migomo ya vyuo vikuu tena ili anza udom,Au na sasa tumaini
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nikiwa kama new member napenda kujitambulisha kwenu ili mpate kunijua ! hodi my fellow great thinkers !
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi members,mi mgeni katika jamii forums,naomba ushirikiano wenu na mimi naahidi kutoa ushirikiano wangu kadiri Mungu atakavonijalia! I Love You All!!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Nimeamua kufunguka kuuliza ni mapenzi gani yanaridhisha,kwa kuwa hii ni sababu ya wanandoa kusalitiana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Just want 2 say hello and that I'm interested on the the forum. Its wonderful.Big Up :A S thumbs_up:
0 Reactions
8 Replies
1K Views
I happy 2 b here..tupeane maneno mawili matatu mpaka zaid maelfu:A S thumbs_up:
0 Reactions
7 Replies
1K Views
I have shifted Mpanda to Arusha University for continuing with my studies. I wish you all a prosperous new year.May God bless you all!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom