WANAJF tuko pamoja sana kwenye forum hii ya kijanja nimekuwa nikiitembelea mara kwa mara sasa nimeona nijitupe uwanjani rasmi.Naomba ushirikiano wenu wakongwe pamoja na wachanga wenzangu.PAMOJA SANA
Karibu!
Mpalu unaonyesha una hasira na rasilimali za nchi yako!
lAKINI NIKWAMBIE, nategemea unayo kadi ya kupigia kura, basi soma taratibu forum hii utamjua wa kumpa kura yako 31/10/2010
Karibu!
Mpalu unaonyesha una hasira na rasilimali za nchi yako!
lAKINI NIKWAMBIE, nategemea unayo kadi ya kupigia kura, basi soma taratibu forum hii utamjua wa kumpa kura yako 31/10/2010
karibu!
mpalu unaonyesha una hasira na rasilimali za nchi yako!
lakini nikwambie, nategemea unayo kadi ya kupigia kura, basi soma taratibu forum hii utamjua wa kumpa kura yako 31/10/2010
Sasa tukuambie 'karibu' au 'karibu tena'.....................:confused2:
Mkwere na ufisiadi dam dam. mda wetu umefika wa kula bata. mkwere hana lake tena