Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nawasalimu nyote wana jamii.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mambo tanzania na walimwengu wote,napenda kuuliza tanzania je hivi mtu msomi maana yake nini?
0 Reactions
4 Replies
849 Views
Wadau wa JF, Napenda kutumia fursa hii kujitambulisha kwenu rasmi. Nimekuwa nikishiriki kwenye jukwaa hili kama mgeni, lakini sasa nimeamua kwa dhati kabisa kuwa mwanachama. Nimekuwa nikivutiwa...
0 Reactions
5 Replies
865 Views
Kwa heshima na taadhima nabisha hod jamvini,nawasalimia kwa heshima tulofunzwa na wahenga wetu wakubwa kwa wadogo,wake kwa waume;naomba mnipokee... Nimekuwa nikifuatilia takriban miezi minne...
0 Reactions
4 Replies
930 Views
Cv: Jina msomi wazama umri:nimezaliwa 1942,tabora 1960-1962:cheti cha kilimo nyegezi mwanza 1957-1960:middle school sikonge tabora 1953-1957:elimu ya msingi uzoefu wa kazi/uongoza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf leo uzalendo umenishinda nami nimeona nijiunge nanyi.....hope mtanipokea asalaaaam aleykum
0 Reactions
5 Replies
909 Views
Nimekuwa nikisoma JF kwa muda sasa na kweli nimejua mengi sana na leo nimeona niungane nanyi na kuwa miongoni mwa wanajamii! Bila kinyongo najua nitakaribishwa! Nangoja kukaribishwa hapa !
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuingia jamvini bila hodi. Nilijiunga na jamvi baada ya tarehe 31 octoba ya 2010. Kilichonivutia awali ilikua ni kupata matokeo ya uchaguzi. Ila baada ya kuona michango...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ndugu wanamjamvi napenda kijitambulisha kwenu kama mpiganaji mpya katika jukwaa hili.napenda pia kushukuruni sana ndugu wazalendo,wataifa,wapigania na wafia maendeleo ya taifa hili kwa kuibua hoja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi guys, am taking this opportunity to alert you that, am a new member to JF, thereof am begging your kindly co-operation. bare on mind that To Love is not to give of your riches to others, but...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mimi naitwa Mathias BYABATO Nimeamua kujiunga rasmi na jukwaa kwa kutumia jina langu kabisa lengo ni kutaka kuaminiwa kwa yale nitaklayokuwa nikitoa bila kificho. punde avantor yangu itakuwa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Hodi great thinkers! Good work!
0 Reactions
2 Replies
658 Views
Zanzibar Yateuwa Makatibu Wakuu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Watendaji Wakuu katika Ofisi na Wizara za Serikali ya Mapinduzi...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Please accept me!!!! regards. tabutupu.
0 Reactions
5 Replies
930 Views
Kwanza nawapongeza sana member me japo mgeni jamani nihabarisheni kuhusu JERRY MURO kesi imefikia wapi?si mnajua wa home? nisaidieni kwa hilo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamvi sijui niwape Shikamooo kama wanauchakachuaji CCM waombapo kura au niwape CDM Oyeeeeeeeeeeee kama vile Mkuu wetu wa Nchi moyoni mwenu asalimiapo wananchi wake......anyway nabisha hodi kwa...
0 Reactions
4 Replies
713 Views
Hodi wandugu humu ndani! Niliingia JF miaka mitatu iliyopita, bahati mbaya sikuwa active kidogo; japo nimekuwa nikisoma baadhi ya posts nikipata nafasi pasipo kutoa comments. Maana si kila kitu...
0 Reactions
3 Replies
725 Views
Habari wana jamii. Ni matumaini yangu nitakaribishwa katika hii Forum ya Great thinkers, naomba kukaribishwa ili angalao na mimi niweze changia agalau machache yale nielewaya. asanteni sana
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Wenye nyumba nabisha hodi rasmi leo baada ya kuwa guest kwa long time now. Naombeni mnipokee na kama chakula kipo mnipe nile....asanteni
0 Reactions
3 Replies
885 Views
mambo vp jaman wanajamii?me mgen wenu nafurah kujiunga pamoja nanyi ktk jamii forum!
0 Reactions
2 Replies
699 Views
Back
Top Bottom