Wadau wa JF,
Napenda kutumia fursa hii kujitambulisha kwenu rasmi. Nimekuwa nikishiriki kwenye jukwaa hili kama mgeni, lakini sasa nimeamua kwa dhati kabisa kuwa mwanachama.
Nimekuwa nikivutiwa...
Kwa heshima na taadhima nabisha hod jamvini,nawasalimia kwa heshima tulofunzwa na wahenga wetu wakubwa kwa wadogo,wake kwa waume;naomba mnipokee...
Nimekuwa nikifuatilia takriban miezi minne...
Cv:
Jina msomi wazama
umri:nimezaliwa 1942,tabora
1960-1962:cheti cha kilimo nyegezi mwanza
1957-1960:middle school sikonge tabora
1953-1957:elimu ya msingi
uzoefu wa kazi/uongoza...
Nimekuwa nikisoma JF kwa muda sasa na kweli nimejua mengi sana na leo nimeona niungane nanyi na kuwa miongoni mwa wanajamii! Bila kinyongo najua nitakaribishwa!
Nangoja kukaribishwa hapa !
Kwanza naomba mnisamehe kwa kuingia jamvini bila hodi. Nilijiunga na jamvi baada ya tarehe 31 octoba ya 2010. Kilichonivutia awali ilikua ni kupata matokeo ya uchaguzi. Ila baada ya kuona michango...
Ndugu wanamjamvi napenda kijitambulisha kwenu kama mpiganaji mpya katika jukwaa hili.napenda pia kushukuruni sana ndugu wazalendo,wataifa,wapigania na wafia maendeleo ya taifa hili kwa kuibua hoja...
Hi guys, am taking this opportunity to alert you that, am a new member to JF, thereof am begging your kindly co-operation.
bare on mind that To Love is not to give of your riches to others, but...
Mimi naitwa Mathias BYABATO Nimeamua kujiunga rasmi na jukwaa kwa kutumia jina langu kabisa
lengo ni kutaka kuaminiwa kwa yale nitaklayokuwa nikitoa bila kificho.
punde avantor yangu itakuwa...
Zanzibar Yateuwa Makatibu Wakuu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Watendaji Wakuu katika Ofisi na Wizara za Serikali ya Mapinduzi...
Wanajamvi sijui niwape Shikamooo kama wanauchakachuaji CCM waombapo kura au niwape CDM Oyeeeeeeeeeeee kama vile Mkuu wetu wa Nchi moyoni mwenu asalimiapo wananchi wake......anyway nabisha hodi kwa...
Hodi wandugu humu ndani!
Niliingia JF miaka mitatu iliyopita, bahati mbaya sikuwa active kidogo; japo nimekuwa nikisoma baadhi ya posts nikipata nafasi pasipo kutoa comments. Maana si kila kitu...
Habari wana jamii.
Ni matumaini yangu nitakaribishwa katika hii Forum ya Great thinkers, naomba kukaribishwa ili angalao na mimi niweze changia agalau machache yale nielewaya. asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.