Ijuganyondo
Member
- Jan 13, 2011
- 62
- 1
Hello boyz&galz,ladiez&gentz,mumiez&dadiez asalaam aleykum.me ni mwanaharakati,naomba kutambulika jamvini!
Kabla ya kukukaribisha inabidi kwanza twende kwa sheik yahya atujuze malengo yako ya kuja huku!
Karibu sana mwanaharakati.
Je upo tayari kujitoa uhai kwa ajili ya wenzio?
Tunahitaji watu wa aina hiyo hapa.
bro niko tayar sana tu,worry not about me,tz ni ya watz wote!
Mostly welcome mwanaharakati mwenzetu,umekuja wakati mzuri tunajadili Katiba mpya,Dowans na mengine mengi........usisite kushiriki pamoja na ugeni wako!