Wadau,
Kuna hili jambo nimeliona siku hizi kwa rika flani la wanaume unakuta mtu akitembea makalio yanacheza utafikiri ya mwanamke.Unakuta kijana kachomekea vizuri shati lake sasa ngoja aanze...
Hasa kwa kina dada, nani aliye waloga kwamba kucha ndefu ni urembo?
Pia makucha ya bandia ndio kabisa ni uchafu.
Wapo watakao pinga wanaume kwa wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepata mchumba, kwa kweli ananipenda sana na hanisumbui hata kidogo.
Malalamiko yake ni kuwa siko nadhifu.
Nimejaribu kununua nguo mpya, boxer, soksi, viatu na mikanda.
Nanyoa ndevu na nywele...
Shindano la Miss World 2019 limefanyika kwa mara ya 69 hapo jana tarehe 14 Desemba katika Ukumbi wa ExCeL London Jijini London, Uingereza ambapo mrembo Toni-Ann Singh wa Jamaica ametwaa taji...
Utakuta mtu anajitolea hewa chafu ndani mwake tena mara nyingi tu na hata hachukizwi na harufu yake lakini kosa afanye mtu mwingine atachukia kweli.
Utakuta mtu anajichezea tu kikwapa chake na...
Je, kuna tofauti ipi kati ya Kung'aa na Kujichubua? Mimi ni maji ya kunde, sipendi kuwa mweupe lakini napenda kuwa na ngozi nzuri.
Nimeelekezwa kununua mafuta ya Queen Elisabeth kwamba nitang'aa...
Sisemi sana ila nataka tu utambue wewe si mwanamke
Sisemi sana ila nataka tu uelewe huna sifa za kuwa mwanamke
Sisemi sana nataka tu ufahamu kuwa katika list ya wanawake (haupo)
ILA HIII NI ...
Wapendwa ndugu zanguni hasa wadada.. Kama kuna kitu au vitu vilikuwa vinakutatiza kuhusiana na swala zima la urembo wa salon, basi chukua nafasi hii kuniuliza swali lolote lile linalohusiana na...
Wapendwa
Leo nimeingia hili jukwaa
Huwa napenda kuuliza jambo kabla sijafanya utekelezaji
Waswahili walisema kuuliza si ujinga mimi hizi sabuni niliona zikipigiwa promo na jamaa mmoja wanasema...
Siku hizi mambo yamebadilika manjano yamekuwa ni kiungo muhimu katika ngozi, wakati hapo awali manjono yalikuwa yanatumika katika kupikia, lakini kwa sasa katika urembo bila manjano urembo wako...
Eti binti kwasababu amempa Yesu maisha (ameokoka) basi ndo haelewekiiiiii,[emoji134].. Uso alishaacha kupaka hata kapoda tu! Wanja ndo kabisa hagusi eti una mapepo, tehe;[emoji16]
Ukimkuta mdomo...
Miss Universe 2018 Catriona Gray kutoka Ufilipino akimvalisha taji mshindi mpya kutoka South Africa katika mashindano yaliyofanyika Desemba 8, 2019 Atlanta Marekani ndani ya Studio za Tyler Perry...
Salam,
Jana mama watoto aliniomba nimnunulie Lotion inaitwa Coco Pulp. Nimeiona anaitumia miezi Kama 2 hivi. Kwa kuwa afya yake haipo sawa,ilibidi nitekeleze
Cha ajabu nilipofika kwenye maduka...
Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile...
Wapendwa naomba mnisaidie namna ya kuondoa alama za mafuta kwenye mkoba aina ya leather, nimejaribu kufua kwa maji ya moto na sabuni bado alama ipo. Mwenye ufahamu zaidi naomba anisaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.