Meridah Tough
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 136
- 363
Je, kuna tofauti ipi kati ya Kung'aa na Kujichubua? Mimi ni maji ya kunde, sipendi kuwa mweupe lakini napenda kuwa na ngozi nzuri.
Nimeelekezwa kununua mafuta ya Queen Elisabeth kwamba nitang'aa. Najiuliza hii kung'aa si kuwa mweupe kweli.
Nimeelekezwa kununua mafuta ya Queen Elisabeth kwamba nitang'aa. Najiuliza hii kung'aa si kuwa mweupe kweli.