Salam,
Jana mama watoto aliniomba nimnunulie Lotion inaitwa Coco Pulp. Nimeiona anaitumia miezi Kama 2 hivi. Kwa kuwa afya yake haipo sawa,ilibidi nitekeleze
Cha ajabu nilipofika kwenye maduka ya vipodozi wakasema hawana Kila duka. Walikuwa Wana niambia nenda duka la pili, hadi nikafika duka la nane. Nikiwa nawauliza kuna kitu nilihisi kuwa wananidanganya.
Duka la nane, nilimkuta mtu mzima mwenzangu, huyu ndio akaniambia ukweli kuwa hayo mafuta yapo ila hawawezi kukuuzia wanakuogopa kwa kuwa yamepigwa marufuku.
Sasa najiuliza hivi vipodozi vinaingiaje? Mwezi mmoja uliopita nilisoma gazetini kuwa Product za Grace Sabuni na Lotion za zoa zimepigwa marufuku. Ajabu bado zimegaa madukanina barabarani.
Hivi tatizo liko wapi?
Jana mama watoto aliniomba nimnunulie Lotion inaitwa Coco Pulp. Nimeiona anaitumia miezi Kama 2 hivi. Kwa kuwa afya yake haipo sawa,ilibidi nitekeleze
Cha ajabu nilipofika kwenye maduka ya vipodozi wakasema hawana Kila duka. Walikuwa Wana niambia nenda duka la pili, hadi nikafika duka la nane. Nikiwa nawauliza kuna kitu nilihisi kuwa wananidanganya.
Duka la nane, nilimkuta mtu mzima mwenzangu, huyu ndio akaniambia ukweli kuwa hayo mafuta yapo ila hawawezi kukuuzia wanakuogopa kwa kuwa yamepigwa marufuku.
Sasa najiuliza hivi vipodozi vinaingiaje? Mwezi mmoja uliopita nilisoma gazetini kuwa Product za Grace Sabuni na Lotion za zoa zimepigwa marufuku. Ajabu bado zimegaa madukanina barabarani.
Hivi tatizo liko wapi?