Jinsi ya kuondoa alama za mafuta kwenye mkoba

Vee94

Member
Jan 26, 2019
18
14
Wapendwa naomba mnisaidie namna ya kuondoa alama za mafuta kwenye mkoba aina ya leather, nimejaribu kufua kwa maji ya moto na sabuni bado alama ipo. Mwenye ufahamu zaidi naomba anisaidie.

Asanteni sana.

IMG_0805.JPG
IMG_0804.JPG
 
Nunua begi jingine kwani lazima liwe hilo? Hata hivyo huo uwazi wa zipu umekaa kimitego!! Ebu uangalie vizuri!
 
Back
Top Bottom