Wapendwa naomba mnisaidie namna ya kuondoa alama za mafuta kwenye mkoba aina ya leather, nimejaribu kufua kwa maji ya moto na sabuni bado alama ipo. Mwenye ufahamu zaidi naomba anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.