Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu, naomba kujua machache kwa wenye uzoefu na masoko ya viazi vitamu. Nina shamba langu la viazi vitamu,nitaanza kuvuna mwezi wa nane,nategemea kuvuna zaidi ya gunia 200. Sasa naomba kujua...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Salute, Wakuu wapi nitapata mbegu za mulch,kwanza sijui mulch ni mizizi ya Nini,au ni mboga za majani au ni Miche ya matunda gani. Kuna mzungu kaniambia anaitaji kununua ,nimtafutie kwa...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
WAZIRI MHE. ABDALLAH ULEGA AHIMIZA UWEKEZAJI MIFUGO, UVUVI & KILIMO Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewahimiza Mawaziri Wenzake wa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
MBUNGE MARTHA GWAU - "RUZUKU YA MBOLEA IPELEKWE KWENYE VIWANDA VYA NDANI" AISHAURI WIZARA YA KILIMO "Tanzania tuna wakulima wa aina tatu; wakulima wadogo (Small Scale Farmers), wakulima wa kati...
0 Reactions
1 Replies
798 Views
Wadau, Naitaji mashamba ya kununua katavi wilaya ya mlele hasa, naombeni connections. Pia naomba kujua upatikanaji wa mifugo huko na bei zake hasa ngombe, mbuzi na kuku wa kienyeji. Ahsanteni.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Napenda sana kilimo cha zabibu, hata kama sio kwa shamba kubwa basi iwe kidogo tu kwa ajili ya matunda, lakini kwa hapa Tanzania huwa naona zinastawi sana Dodoma. Sasa kwa wale wataalam wa kilimo...
2 Reactions
24 Replies
22K Views
HABARI WAFUGAJI NA WANAFAMILIA WA JEFF AGRICULTURE FARM [emoji2788]Leo tunaenda kujifunza Namna nzuri na rafiki ya kuwaepusha kuku/vifaranga wetu na ugonjwa hatari wa (MDONDO/KIDERI/NEW CASTLE)...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye kujua hali ya hewa inayoruhusu hili zao kustawi na kuzaa kwa wingi tafadhali anijulishe. Na ni sehemu gani Tanzania hili zao linastawishwa kwa wingi? Asanteni Katika kuabarishana...
2 Reactions
99 Replies
61K Views
Habari wakulima na wafugaji mimi ni mkulima mdogo msimu huu nimejaribu kupanda karanga na zimeota vizuri zina zaidi ya Mwezi mmoja, sasa kutokana na Mvua zinazoendelea mikoa ya pwani natamani...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Nigeria ni wazalishaji wa kubwa sana wa Muhogo Africa na Duniani kwa ujumla, Pia ni wazalishaji wakubwa sana wa Mahindi Africa ukitoa South Africa. Kuna wakati Nigeria Muhogo wake ulikosa soko...
22 Reactions
33 Replies
4K Views
Bungeni kuliulizwa swali la kifungwa kwa ziwa tanganyika kutokana na samaki kupungua na moja kwamoja majibu yalitolewa kua suala la kufungwa lilichululiwa baada ya samaki kupungua. Swali la...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Ningependa kujua mechanism inayosababisha wanatane. Asante
8 Reactions
78 Replies
7K Views
Ni rahisi Sana Ila pia ni kazi uvuaji wake unaenda beach unawakuta kwenye maji madogo wako pweza wadogo unamchoma na mdeki ni kama nondo yenye chambo unamvuta kisha anakuvaa kwenye mkono ile mikia...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba nisaidiwe kutibu ugonjwa huo unaoshambulia mchungwa na matunda yake?
4 Reactions
3 Replies
518 Views
Mwaka jana nimelima mahindi mkoa wa Kagera ambayo nimevuna (kwa hasara) mwezi march mwaka huu. Nimepata hasara kwa sababu hali ya hewa haikuwa shwari, wengi tumekosa mvua za kutosha mwanzoni hali...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari, Huu ndo muda wa kupanda mpunga kwa sehemu za morogoro naomba kufahamu dawa za kuua magugu, mbolea gani itumike ili kuongeza kipato. Na pia njia bora ya kutumia maana Ile ya kumwaga...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama inavyosomeka hapo juu wadau, nimelima mazao ya mahindi nikachanganya na kunde. Changamoto niliyonayo nimechelewa kupalilia kwa jembe la mkono nataka nitumie dawa au "sumu" kupalilia Shida...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
KIJIJI CHA WAKULIMA NA WAFUGAJI STADI CHAUNGANISHWA KWENYE BARABARA KUU Kijiji cha Kinyang'erere ni moja ya vijiji vinne (4: Bugwema, Kinyang'erere, Masinono, Muhoji) vya Kata ya Bugwema ya...
0 Reactions
1 Replies
446 Views
1. Watanzania wenzangu naomba tushauriane kuhusu hichi kitu kinachoitwa BBT ? 4. Kilimo JE KILIMO NI UTI WA MGONGO WA NCHI YETU? - Ndio , watu wote milioni 61 tunategemea kilimo kutulisha nafaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MBUNGE NANCY NYALUSI ATOA MAPENDEKEZO KWENYE BAJETI YA WIZARA YA KILIMO BUNGENI JIJINI DODOMA "Wananchi wa Mkoa wa Iringa Tunaishukuru Serikali sana kwa mpango wa ujenzi wa kiwanda cha kuchakata...
1 Reactions
1 Replies
729 Views
Back
Top Bottom