Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Hivi nikitaka kujua ukubwa wa eneo fulani kwa HEKA ambalo sio mraba au mstatili (eneo halina umbo mahalumu) ninafanyaje? Nilipata hii changamoto kidogo ila niliamua kupima mzunguko wake wote kwa mita (mzingo) labda nikapata mita 120 nikafanya ulinganifu kwa heka1 ina mzunguko wa 280m je 120m ni heka ngapi? Nilikuwa sahihi au kuna njia nyingine?