Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kama inavyosomeka hapo juu wadau, nimelima mazao ya mahindi nikachanganya na kunde. Changamoto niliyonayo nimechelewa kupalilia kwa jembe la mkono nataka nitumie dawa au "sumu" kupalilia Shida...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
KIJIJI CHA WAKULIMA NA WAFUGAJI STADI CHAUNGANISHWA KWENYE BARABARA KUU Kijiji cha Kinyang'erere ni moja ya vijiji vinne (4: Bugwema, Kinyang'erere, Masinono, Muhoji) vya Kata ya Bugwema ya...
0 Reactions
1 Replies
446 Views
1. Watanzania wenzangu naomba tushauriane kuhusu hichi kitu kinachoitwa BBT ? 4. Kilimo JE KILIMO NI UTI WA MGONGO WA NCHI YETU? - Ndio , watu wote milioni 61 tunategemea kilimo kutulisha nafaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MBUNGE NANCY NYALUSI ATOA MAPENDEKEZO KWENYE BAJETI YA WIZARA YA KILIMO BUNGENI JIJINI DODOMA "Wananchi wa Mkoa wa Iringa Tunaishukuru Serikali sana kwa mpango wa ujenzi wa kiwanda cha kuchakata...
1 Reactions
1 Replies
729 Views
Habarini za muda huu wana jukwaa, mm ni mfugaji mdogo nikiwa najihusisha na ufugaji wa kuku pamoja na bata mzinga ila nimepata changamoto kidogo ya soko la bata mzinga ndio nikaona ni wakati...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
MBUNGE BUPE MWAKANG'ATA AKICHANGIA HOJA YA BAJETI YA WIZARA YA KILIMO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa Mhe. Bupe Mwakang'ata tarehe 09 Mei, 2023 alichangia hoja ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo...
1 Reactions
1 Replies
864 Views
Nimeamua nifuge bata maji tu, ni rahisi na wanazaliana kwa haraka sana.
2 Reactions
73 Replies
3K Views
Habari wana jamvi Leo nakuja kwenu tena kueleza namna ambavyo Mkulima aliewekeza kwenye Kilimo cha kisasa kwa kutumia green house anavyoweza kupata faida Naanza kwa kusema kuwa Kilimo ni Biashara...
4 Reactions
5 Replies
5K Views
MBUNGE MASACHE KASAKA AZUNGUMZIA BAJETI YA WIZARA YA KILIMO "Serikali umeweka utaratibu mzuri wa kuchukua vijana na kuwaweka katika makambi, nashauri tuwachukue vinana ambao wameshajiajiri tayari...
0 Reactions
1 Replies
795 Views
MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO "Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TANZANIA IWEKEZE UVUVI WA SAMAKI WA VIZIMBA ILI SEKTA YA UVUVI ICHANGIE PATO LA TAIFA KWA ASILIMIA MBILI Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Mkoa wa Mara Mhe. Prof. Sospeter Muhongo mwenye Jimbo...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
MBUNGE CHEREHANI - PAMBA IWE NA TIJA Mbunge wa Jimbo la Ushetu Kahama-Shinyanga Emmanuel Cherehani amesema Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe apewe udaktari wa heshima kutokana na mchango wake...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
JOSEPHAT GWAJIMA AKICHANGIA BUNGENI BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI MWAKA WA FEDHA 2023/2024 Mbunge wa Jimbo Kawe lililopo Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Askofu Dkt. Josephat...
1 Reactions
2 Replies
742 Views
Wakuu salaam. Kutokana na hali ilivyo ngumu huku mtaani, kijana nimejipiga na kupambana nikakusanya kiasi cha 300k. Nataka nijitupe kwenye ujasiliamali wa ufugaji wa nguruwe. Wataalamu wa haya...
3 Reactions
63 Replies
25K Views
MBUNGE ESTHER MALLEKO AWASILISHA MAOMBI YA TEKNOLOJIA KWENYE KILIMO CHA NDIZI, KILIMANJARO "Tanzania tunazalisha kahawa tani 80,000 kwa sasa, huko nyuma tulikuwa tunazalisha tani 61,000 za...
3 Reactions
0 Replies
602 Views
[emoji239] Je, wajua tetea anaweza kutaga bila uwepo wa jogoo? [emoji1639]Watu wengi tumekua Tukiamini Ili Tetea Atage Lazima Awepo Jogoo Wa Kumpanda Ndio Yai Lipatikane...Kama Wewe Ni Miongoni...
12 Reactions
26 Replies
6K Views
ukienda kijijini heka 1 utakodi kwa gharama isiyozidi laki moja 100,000.00 tu! ukilima mahindi ni miezi mitatu tu unavuna faida nzuri mno, jipunguzie gharama za maisha kwa kutengeneza mwenyewe...
12 Reactions
13 Replies
1K Views
Salaaams wanajukwaa, poleni na majukumu. Kama heading inavyojieleza, Nahitaji partner wakushirikiana nae kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama ( BROILER ). Mabanda ni makubwa na ya kisasa, yenye...
2 Reactions
92 Replies
22K Views
habari wakuu, naomba kuuliza wataalam, hivi biashara ya kulima mahindi ya kuchoma ni ya msimu au unaweza kulima mwaka mzima?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF, Kwanza niseme asanteni sana maana ushauri ambao mmekuwa mnanipa nimekuwa nikiufanyia kazi unanipa matokeo mazuri. Sasa nina changamoto ya kuku wa sasso ambao wana umri wa miezi miwili...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom