Kufuga bata ni bora kuliko kuku na kanga

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wakuu, mm ninafuga ndege hao aina tatu.

Nilichogundua, bata anahimili magonjwa sana, pia vyakula hachagui sana. Bata wana nyama nyingi sana na wanauzwa hadi 35,000 kwa jogoo mkubwa. Bata hawana uhitaji mkubwa wa madawa au vyakula vya dukani.

Kuku ni wadhaifu kwenye magonjwa. Wanakufa sana. Pia speed yao ya kukua siyo kubwa.

Bata ana nyama tamu sana kuliko kuku na kanga.
 
Tunashukuru sana kwa ushauri wako na tunakubali maoni yako lakini nikuombe kitu hapa huo ni moja kati ya utaalamu wako ktk ufugaji wa bata nafiki ingalikuwa bora tukaomba na mfuga kuku nae atoe ushauri wake juu ya ufugaji wa kuku maana mazao na masoko yana pishana. Je masoko ya hao bata yanapatikana kirahisi kama ya kuku haw wa muda mfupi?
 
Wakuu, mm ninafuga ndege hao aina tatu.

Nilichogundua, bata anahimili magonjwa sana, pia vyakula hachagui sana. Bata wana nyama nyingi sana na wanauzwa hadi 35,000 kwa jogoo mkubwa. Bata hawana uhitaji mkubwa wa madawa au vyakula vya dukani.

Kuku ni wadhaifu kwenye magonjwa. Wanakufa sana. Pia speed yao ya kukua siyo kubwa.

Bata ana nyama tamu sana kuliko kuku na kanga.
Japo siyo mfugaji ila nakubaliana na wewe
 
Wakuu, mm ninafuga ndege hao aina tatu.

Nilichogundua, bata anahimili magonjwa sana, pia vyakula hachagui sana. Bata wana nyama nyingi sana na wanauzwa hadi 35,000 kwa jogoo mkubwa. Bata hawana uhitaji mkubwa wa madawa au vyakula vya dukani.

Kuku ni wadhaifu kwenye magonjwa. Wanakufa sana. Pia speed yao ya kukua siyo kubwa.

Bata ana nyama tamu sana kuliko kuku na kanga.
Mimi ni mfugaji na nakubaliana sana na wewe. Inahitaji uwe na mbinu nzuri sana kuweza kuwauza au kujua watu wenye hali ya maisha ya kuweza kununua na namna ya kuwapata. Ukijua wateja wako ni kina nani, na wanapatikana wapi fanya. Ukishindwa ingia kwenye uanguaji utauza vifaranga kwa bei zaidi ya broiler kwa wale bata wa kisasa ambapo wateja wako watakuwa ni wafugaji.

Pia inafaa unapowafugia upate eneo la kutosha uwawekee kibwawa na wapate eneo la kujimwaya mwaya.
 
Wakuu, mm ninafuga ndege hao aina tatu.

Nilichogundua, bata anahimili magonjwa sana, pia vyakula hachagui sana. Bata wana nyama nyingi sana na wanauzwa hadi 35,000 kwa jogoo mkubwa. Bata hawana uhitaji mkubwa wa madawa au vyakula vya dukani.

Kuku ni wadhaifu kwenye magonjwa. Wanakufa sana. Pia speed yao ya kukua siyo kubwa.

Bata ana nyama tamu sana kuliko kuku na kanga.
Ukiona kiumbe hasumbuliwi na magonjwa huyo ni sumu..bata hanatofauti na kunguru.

Pia soko lake gumu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bata hana soko la haraka...nimewafuga sanaa., Wateja wa bata ni wachache, wakihama kikazi kupata mteja mpya shughuli
Ukifuga bata umefuga kwajili yako na familia yako ukitegemea ufuge kibiashara imekula kwako..watakunya hadi kwenye makochi.

Bata hata ale mawe lazima aachie uharo..kitu kilichonifanya nisifuge kabisa hao viumbe...licha ya uharamu wao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Me nafuga bata,kanga na kuku aisee kipindi hiki cha kanga kutaga hutotamani kuacha kuwafuga na pia ni wavumilivu sana wa magonjwa na nyama yake Ina ladha Murua sana

Mayai yake yanauzika?
 
Sanaaa na ndo yanatengenezewa chips yai hayana tofauti sana na ya kuku wa kienyeji ila ya kanga yanakua madogo kdg
Tazama mayai ya kanga
20221222_231511.jpg
20221222_231506.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom