Nililima maharage mwanzo mwishoni mwa mwezi wa tatu wilayani Hanang, baada ya hapo mvua zikaanza kunyesha mfululizo na ardhi niliyopanda ni mbuga nyeusi.
Yaani maharage yalitaka kuniacha nayaona...
Wana bodi ? naomba ushauri nataka kuwanunulia ndugu zangu wasio na ajira na tegemezi kifaa cha kazi ambacho watafanyia biashara wajikimu na kirudishe hela yangu mapema with minimum risk, nimewaza...
Unaweza kushangaa ila huo ndio uhalisia.
Mkoa wa DSM ndio unaongoza Tanzania Kwa Kilimo Cha Umwagiliaji Cha mazao mbalimbali ukifuatiwa na Mbeya, Kilimanjaro na Iringa..
=========
10 regions...
Wapendwa wana JF wenzangu,siku kadhaa zilizopita niliomba kupatiwa ufafanuzi wa namna ya kitengeneza wine ya ndizi,lakini kwa bahati mbaya sijafanikiwa kumaliza kiu yangu.Sasa leo naomba yeyote...
Wakuu, naomba kujua machache kwa wenye uzoefu na masoko ya viazi vitamu. Nina shamba langu la viazi vitamu,nitaanza kuvuna mwezi wa nane,nategemea kuvuna zaidi ya gunia 200.
Sasa naomba kujua...
Salute,
Wakuu wapi nitapata mbegu za mulch,kwanza sijui mulch ni mizizi ya Nini,au ni mboga za majani au ni Miche ya matunda gani.
Kuna mzungu kaniambia anaitaji kununua ,nimtafutie kwa...
WAZIRI MHE. ABDALLAH ULEGA AHIMIZA UWEKEZAJI MIFUGO, UVUVI & KILIMO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewahimiza Mawaziri Wenzake wa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...
MBUNGE MARTHA GWAU - "RUZUKU YA MBOLEA IPELEKWE KWENYE VIWANDA VYA NDANI" AISHAURI WIZARA YA KILIMO
"Tanzania tuna wakulima wa aina tatu; wakulima wadogo (Small Scale Farmers), wakulima wa kati...
Wadau,
Naitaji mashamba ya kununua katavi wilaya ya mlele hasa, naombeni connections.
Pia naomba kujua upatikanaji wa mifugo huko na bei zake hasa ngombe, mbuzi na kuku wa kienyeji.
Ahsanteni.
Napenda sana kilimo cha zabibu, hata kama sio kwa shamba kubwa basi iwe kidogo tu kwa ajili ya matunda, lakini kwa hapa Tanzania huwa naona zinastawi sana Dodoma.
Sasa kwa wale wataalam wa kilimo...
HABARI WAFUGAJI NA WANAFAMILIA WA JEFF AGRICULTURE FARM
[emoji2788]Leo tunaenda kujifunza Namna nzuri na rafiki ya kuwaepusha kuku/vifaranga wetu na ugonjwa hatari wa (MDONDO/KIDERI/NEW CASTLE)...
Mwenye kujua hali ya hewa inayoruhusu hili zao kustawi na kuzaa kwa wingi tafadhali anijulishe.
Na ni sehemu gani Tanzania hili zao linastawishwa kwa wingi?
Asanteni
Katika kuabarishana...
Habari wakulima na wafugaji mimi ni mkulima mdogo msimu huu nimejaribu kupanda karanga na zimeota vizuri zina zaidi ya Mwezi mmoja, sasa kutokana na Mvua zinazoendelea mikoa ya pwani natamani...
Nigeria ni wazalishaji wa kubwa sana wa Muhogo Africa na Duniani kwa ujumla, Pia ni wazalishaji wakubwa sana wa Mahindi Africa ukitoa South Africa.
Kuna wakati Nigeria Muhogo wake ulikosa soko...
Bungeni kuliulizwa swali la kifungwa kwa ziwa tanganyika kutokana na samaki kupungua na moja kwamoja majibu yalitolewa kua suala la kufungwa lilichululiwa baada ya samaki kupungua.
Swali la...
Ni rahisi Sana Ila pia ni kazi uvuaji wake unaenda beach unawakuta kwenye maji madogo wako pweza wadogo unamchoma na mdeki ni kama nondo yenye chambo unamvuta kisha anakuvaa kwenye mkono ile mikia...
Mwaka jana nimelima mahindi mkoa wa Kagera ambayo nimevuna (kwa hasara) mwezi march mwaka huu.
Nimepata hasara kwa sababu hali ya hewa haikuwa shwari, wengi tumekosa mvua za kutosha mwanzoni hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.