Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

MBUNGE ABUBAKAR ASENGA ATAKA SERIKALI IFANYE USANIFU MABONDE YA UMWAGILIAJI YA IFAKARA Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mkoani Morogoro, Abubakar Asenga katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
SERIKALI YAJA NA MPANGO MKAKATI WA KUMLINDA MKULIMA WA KOROSHO NCHINI. Serikali kwa kushirikiana na Sekta binafsi imeendelea na jitihada za kuimarisha bei ya korosho nchini kwa kufufua viwanda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi nikitaka kujua ukubwa wa eneo fulani kwa HEKA ambalo sio mraba au mstatili (eneo halina umbo mahalumu) ninafanyaje? Nilipata hii changamoto kidogo ila niliamua kupima mzunguko wake wote kwa...
2 Reactions
52 Replies
13K Views
Ninaomba kufahamu kuhusu mradi wa miti ya mbao, ninawazo la kununua shamba na kupanda hiyo miti. Ninaomba kufahamisha kuhusu chochote kuhusiana na mradi huo kwa wenye uzoefu.
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Habari zenu wadau, Kama mada inavyojieleza ninauhitaji na hizo mashine kwa yoyote anayejua zinakopatikana basi anijulishe tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
819 Views
Habari za leo waungwana. Ninashida ya vifaranga wa kuku wa kienyeji na bata, wakiwa chotara ni vizuri zaidi, kuanziya mwezi mmoja. Napatikana: 0689360264
0 Reactions
0 Replies
933 Views
SHILINGI BILIONI 18.4 SUA KUJENGA CHUO CHA KILIMO KATAVI HALMASHAURI YA MPIMBWE Katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi Mhe. Martha Festo Mariki...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wengi hudhani taifa kubwa km Marekani halitegemei maji ya mvua kwa ajili ya kilimo. Ukweli ni kwamba hata wao wanategemea mvua kwa kiasi kikubwa. Mwaka huu inaonyesha kutokana na ukame mkali...
1 Reactions
3 Replies
759 Views
Tukiendelea hivi basi rasmi nitaingia kwenye Kilimo na Vijana wengi pia wataingia kwenye Kilimo.. Hii ni aina nyingine ya bima ya mazao yetu.. Hongera sana Rais Samia,2025 kura zote za Wakulima...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari wakuu. Mimi ni mraibu mkubwa wa hawa viumbe sio kuwala ila napenda tu kuwatazama. Kuwala kwa kweli kuwachinja huwa nawaonea huruma, najikuta nashindwa. Kuna rangi nimeiona nikaipenda...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni mtalamu wa mifugo Yani AHP natafuata kazi yoyote inayo endana na taaluma yangu kwenye kampuni au shirika lolote lile Nina uzoefu mkubwaa na pia nipo tayari kufanyaa kazi popote pale, nipo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
NAIBU WAZIRI SILINDE - MAZIWA YASIYO SALAMA NI HATARI KWA MLAJI Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. David Silinde ameonya kuwa matumizi ya maziwa yasiyo salama huhatarisha maisha ya mlaji...
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Wakuu, naomba kufaham Bei za mpunga, mahind Kwa mkoa wa tabora Kwa kipindi hiki Cha mavuno.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka hapo juu, nimepta mara nyingi katika mbuga zilimwazo mpunga kuanzia Dodoma, Manyoni, Itigi, Igunga, Nzega, Kahama, Shinyanga na mkoa wa Mwanza Kwa kipindi kuanzia...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Serikali imepiga marufuku Wanunuzi kwenda Kununua Mazao ya Wakulima mashambani na kuagiza mazao yote yanunuliwe kwema Maghala yaliyosajiliwa. My Take: Wenye Stoo na madalali Sasa kazi mnayo...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Wakuu tafadhali Kama kuna mtu anajua mashamba ya kukodi kwaajili ya kilimo mwaka huu maeneo Dakawa naomba kujuzwa @whats app no 0629931610 Kama unajua kuhusu au unakodisha tafadhali wasiliana na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
WADAU ZAIDI YA 3,000 KUNUFAIKA NA MIKOPO YA UFUGAJI SAMAKI Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. David Silinde amesema Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimepata ardhi kubwa,ninahitaji kujua shamba la Miti ukanda wa pwani linawezekana?if yes miti gani inahimili mazingira ya ukanda wa pwani [rufiji,kilwa]. nawaza miti ya under 10 years.
2 Reactions
51 Replies
20K Views
WIZARA YA MIFUGO & UVUVI, SUA ZATEKELEZA MAAGIZO YA RAIS SAMIA Kufuatia maelekezo aliyoyatoa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi ishirikiane na Chuo Kikuu Cha...
0 Reactions
3 Replies
799 Views
Nililima maharage mwanzo mwishoni mwa mwezi wa tatu wilayani Hanang, baada ya hapo mvua zikaanza kunyesha mfululizo na ardhi niliyopanda ni mbuga nyeusi. Yaani maharage yalitaka kuniacha nayaona...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Back
Top Bottom