Mwalimu Truth
Member
- Feb 15, 2015
- 57
- 62
Habarini wana Jf.
Shamba langu la Mifugo lina Mbuzi, kondoo, kuku, kanga, bata, Mbwa wa kisasa, njiwa na ngombe wawili ambao wanafugwa wakiwa ndani muda wote.
Lengo langu ni kuwa na wanyama wa kufugwa aina zote kwenye shamba langu, ili kuepuka magonjwa, wanyama wote wanafugwa pasipo kuingiliana eneo yaani eneo nimeligawa katika sehemu kulingana na mifugo husika.
Lengo la uzi huu ni kwamba, bado nahofia mlipuko wa magonjwa shambani ambao unaweza kutokea na kusababisha vifo kutokana na aina mbalimbali za mifugo ninazofuga.
JE, NIFANYE NINI ILI KUBORESHA KUWAKINGA MIFUGO YANGU DHIDI YA MRIPUKO WA MAGONJWA?KINGA NI BORA KULIKO TIBA.
Shamba langu la Mifugo lina Mbuzi, kondoo, kuku, kanga, bata, Mbwa wa kisasa, njiwa na ngombe wawili ambao wanafugwa wakiwa ndani muda wote.
Lengo langu ni kuwa na wanyama wa kufugwa aina zote kwenye shamba langu, ili kuepuka magonjwa, wanyama wote wanafugwa pasipo kuingiliana eneo yaani eneo nimeligawa katika sehemu kulingana na mifugo husika.
Lengo la uzi huu ni kwamba, bado nahofia mlipuko wa magonjwa shambani ambao unaweza kutokea na kusababisha vifo kutokana na aina mbalimbali za mifugo ninazofuga.
JE, NIFANYE NINI ILI KUBORESHA KUWAKINGA MIFUGO YANGU DHIDI YA MRIPUKO WA MAGONJWA?KINGA NI BORA KULIKO TIBA.