Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wanajamii forum nahitajo Vifaranga vya kuku aina ya kuroiler kuanzia wiki nne nipo singida
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro alishiriki zoezi la ugawaji wa Miche ya Kahawa lililofanyika Octoba 4, 2023 katika Kijiji cha Kashinga - Nyakisasa. Miche hii ni matokeo...
1 Reactions
1 Replies
687 Views
Watu wengi tunawachukulia poaa sana Wahindi,kisa wanaishi mjiji.Ila ukweli ni kwamba wahindi wamewekeza sana kwenye Aridhi,Wana mashamba makubwa na ya kutisha. Binafisi nimetembelea Wahindi kama...
0 Reactions
3 Replies
724 Views
MBUNGE ZAYTUN SWAI: PROGRAMU ENDELEVU YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI ITAWASAIDIA SANA AKINA MAMA Mhe. Zaytun Swai, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha tarehe 11 Oktoba, 2023 ameshiriki...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Habari wakuu, Nahitaji mbegu ya maharage aina ya fiwi nataka nijaribu,ila nahitaji mbegu inayozaa sana,achana na zile za Hedaru,kama unafahamu naipaje[wapi],usisite kuwasiliana na mimi. Asante sana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wataalamu na wazoefu mliomo humu, naombeni ushauri wenu. Katika miche zaidi ya ishirini, miwili imeonesha kutokuwa sawa: 1. Kasi ya ukuaji imepungua, kama inataka kudumaa 2. Majani...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nyakati tulizo nazo sasa ni za kilimo cha kisasa. Kilimo cha technology. Nyakati hizi ni za kutumia viuatilifu na teknolojia zingine. Hebu jiulize, ni vijana wangapi wanaweza gharama hii? Yaani...
0 Reactions
2 Replies
537 Views
NI mbegu ipi ya mahindi nikiitumia naweza kupata matunda Bora? Ushauri wenu ni muhimu Sana, #Elimu ya kilimo
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibu Nehemia One Pvt Co Ltd. Kampuni yenye wataalamu wenye uzoefu wa masoko na uzalishaji wa mazao ya kilimo. Kampuni inapenda kukukaribisha kwenye fursa ya uzalishaji wa MDALASINI...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wanaJF, Ni ufugaji upi unaoweza nipatia faida kwa haraka zaidi kati ya ufugaji wa Nguruwe na ufugaj wa Kuku? Naombeni na sababu Wana jamvi
3 Reactions
72 Replies
22K Views
Pamoja na lengo zuri la Serikali na nia njema Kwa ajili ya kuboresha na kukigeuza Kilimo chetu kuwa ni Cha Kibiashara zaidi, lakini Kuna watu Kwa makusudi kabisa wanarudisha nyuma juhudi hizi za...
0 Reactions
2 Replies
489 Views
Ukikutana na wale wafundisha ujasiriamali utasikia anzia sokoni tafuta soko ukisha pata sasa nenda shambani kalimie. Unakuta sasa wakulima tunaogopa sana kulima baadhi ya mazao kwa sababu...
3 Reactions
7 Replies
625 Views
Hapo juu hizo ni list za Machungwa ambazo unaweza pata kutoka kwetu, ni graftes na kama unataka kulima comercialy itapendeza sana hasa maeneo yenye full time jua. 1. Minneola- Hii ni cross kati...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Kutokana na ugumu wa maisha watu wanajaribu kUchangamkia fursa mbalimbali ikiwemo kilimo na ufugaji. Baada ya FURSA hii kuonekana ndio kimbilio la wengi wamejitokeza watu wengine tena nao...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
MIFUMO YA MASOKO YA MAZAO YA KILIMO Masoko ya mazao na bidhaa za kilimo ni muhimu kwa ajili ya kuchochea uzalishaji na kuendeleza Sekta ya Kilimo. Aidha, ubora wa miundombinu wezeshi katika...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za mchana wanajf Leo nataka niwafahamishe kuhusu mnyama huyu aitwaye simbilisi au kwa kiswahili sanifu anaitwa nungu bandia 1. Anakula majani na vitu vyote alavyo binadamu yan...
9 Reactions
50 Replies
7K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Wataalamu wa kilimo huo mwinuko ni rafiki wa mazao gani? Mwinuko huo mnau weka katika kundi lipi low land au highland. Lengo langu ni mazao yafuatayo 1. Mahindi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tarehe 27 tulifanikiwa wadau wachache kutembelea Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nairobi. Maonyesho yale ni makubwa sana na very organised ukilinyanisha na zile Nane nane zetu,nilijifunza...
8 Reactions
9 Replies
904 Views
Sekta ya uvuvi imekuwa ni sekta pana inayoajiri asilimia kubwa ya Watanzania inayosaidia vijana kujiajiri na kutatua tatizo la upungufu wa ajira katika taifa letu kwa kiasi chake. Taifa letu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina Mzinga 10 nimeiweka shambani mwezi Julai 2019 hadi sasa nyuki hawajaingia. Nifanyeje?
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…