Wafugaji Wa Sungura ni swala la Masoko

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,915
Wafugaji wengi wa Sungura wamebakia kufanya Biasjmhara inayo itwa Farmer to Farmer. Yaani anakuuzia na wewe ukafuge na wewe utayafuta mfugaji umuuzie akafuge na chain inaendelea.

Ni nadara sana kupata mtu anakuja kununua Sungura akachinje ale, kwamba anakuja shambani kwako anunue Sungura kadhaaa akachinje.

Hii ni kwa sababu Ulaji wa Sungura sio Utamaduni wa Watanzania ingawa wapo wanao wajua na walio kula Sungura pori, ingawa ukweli ni kwamba nyama ya Sungura ni tamu sana na ni nzuri kiafya nazani zaodi hata ya kuku.

WANAPO KWAMA
Wafugaji wengi hawana Visioni na wala plan, pia hawana Umoja, hili ni tatizo la Wa Tz wengi kila mmoja anapambana kivyake.

Wafugaji Wa Sungura wangeungana na wakaamua kabisa wataspend hata Maaka mzima kufanya Marketing pekeee wangeweza kutengemeza Wateja wa kutosha kabisa.Wakawa wanachangishana Sungura kila siku kwa ajili ya Market.

Wangeanza hata Kuchinja na kuchoma au kukaangana na kuonjesha watoto mashuleni, wanaenda Shule A wana ongea na Wanalimu, na baada ya hapo Sungura wanachinjwa hapo na wana chomwa na watoto wanaonjeshwa, Siku nyingine shule nyingine, siku nyingine shule nyingine siku nyingine kwenye Taasisi mnaonjesha stafu wote.
Wakitoka hapo Tafimuta Baa na wawe wana Supply nyama ya Sungura free kwa miezi 6 na wateja wanachomewa pale na wanaonjeshwa.

Zoezi hili likiwa serious mwaka mzima nina uhakika uhitaji utapaaa sana na utaanza kuona watu wanaulizia Sungura wa kwenda kula na sio kufuga tena.

Watoto wakaonjeshwa nyama lazima wakasumbue Wazazi wao wawanunulie Sungura wale.

Shida sasa ni wafugaji, mbinu hawana wamekalia kuangalia leo badala ya kuja na mikakati ya kutengeneza soko la Sungura.

Jiji la Dar wakipatikana wateja Serious hata 5000 jiji zima ni wengi sana hao.

Lakini hali ilivyo kwa sasa watu wanauziana tu wakafuge saaa hii sio kabisa.
 
Wafugaji wengi wa Sungura wamebakia kufanya Biasjmhara inayo itwa Farmer to Farmer. Yaani anakuuzia na wewe ukafuge na wewe utayafuta mfugaji umuuzie akafuge na chain inaendelea.

Ni nadara sana kupata mtu anakuja kununua Sungura akachinje ale, kwamba anakuja shambani kwako anunue Sungura kadhaaa akachinje.

Hii ni kwa sababu Ulaji wa Sungura sio Utamaduni wa Watanzania ingawa wapo wanao wajua na walio kula Sungura pori, ingawa ukweli ni kwamba nyama ya Sungura ni tamu sana na ni nzuri kiafya nazani zaodi hata ya kuku.

WANAPO KWAMA
Wafugaji wengi hawana Visioni na wala plan, pia hawana Umoja, hili ni tatizo la Wa Tz wengi kila mmoja anapambana kivyake.

Wafugaji Wa Sungura wangeungana na wakaamua kabisa wataspend hata Maaka mzima kufanya Marketing pekeee wangeweza kutengemeza Wateja wa kutosha kabisa.Wakawa wanachangishana Sungura kila siku kwa ajili ya Market.

Wangeanza hata Kuchinja na kuchoma au kukaangana na kuonjesha watoto mashuleni, wanaenda Shule A wana ongea na Wanalimu, na baada ya hapo Sungura wanachinjwa hapo na wana chomwa na watoto wanaonjeshwa, Siku nyingine shule nyingine, siku nyingine shule nyingine siku nyingine kwenye Taasisi mnaonjesha stafu wote.
Wakitoka hapo Tafimuta Baa na wawe wana Supply nyama ya Sungura free kwa miezi 6 na wateja wanachomewa pale na wanaonjeshwa.

Zoezi hili likiwa serious mwaka mzima nina uhakika uhitaji utapaaa sana na utaanza kuona watu wanaulizia Sungura wa kwenda kula na sio kufuga tena.

Watoto wakaonjeshwa nyama lazima wakasumbue Wazazi wao wawanunulie Sungura wale.

Shida sasa ni wafugaji, mbinu hawana wamekalia kuangalia leo badala ya kuja na mikakati ya kutengeneza soko la Sungura.

Jiji la Dar wakipatikana wateja Serious hata 5000 jiji zima ni wengi sana hao.

Lakini hali ilivyo kwa sasa watu wanauziana tu wakafuge saaa hii sio kabisa.
Mkuu Chasha una maono makubwa sana katika tasnia za kulima na kufuga kibiashara. Ila wafugaji wa sungura tusiwalaumu sana maana walikua affected psychologically baada ya zile kampuni za kitapeli kuwalaghai na kuwauzia mbegu za sungura, mabanda, vyombo na vyakula kwa bei ghali na kuwasainisha mikataba ya kilaghai, (bogus treaties) kwamba watanunua sungura wote kutoka kwao ila baada ya uzalishaji kua mkubwa makampuni yakaingia mitini.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hili Jambo limitekua linanifikirisha sana,kwanini kuku hana mpinzani? Wakati kuna vitoweo kibao vinavyoweza kushindana nae kwenye being,utamu na benefits kimwili?

Mpango wangu wa baadaye ni kufuga bata kwa wingi kisha nifungue bata joint. Pauzwe kila kitu bata,supu ya bata,makange ya bata,chips bata, chips mayai bata,bata choma, biriani ya bata nk.
Nina amini baada ya muda na promo ya kutosha biashara itakua na kuweza fungua joint nyingine.
 
Wafugaji wengi wa Sungura wamebakia kufanya Biasjmhara inayo itwa Farmer to Farmer. Yaani anakuuzia na wewe ukafuge na wewe utayafuta mfugaji umuuzie akafuge na chain inaendelea.

Ni nadara sana kupata mtu anakuja kununua Sungura akachinje ale, kwamba anakuja shambani kwako anunue Sungura kadhaaa akachinje.

Hii ni kwa sababu Ulaji wa Sungura sio Utamaduni wa Watanzania ingawa wapo wanao wajua na walio kula Sungura pori, ingawa ukweli ni kwamba nyama ya Sungura ni tamu sana na ni nzuri kiafya nazani zaodi hata ya kuku.

WANAPO KWAMA
Wafugaji wengi hawana Visioni na wala plan, pia hawana Umoja, hili ni tatizo la Wa Tz wengi kila mmoja anapambana kivyake.

Wafugaji Wa Sungura wangeungana na wakaamua kabisa wataspend hata Maaka mzima kufanya Marketing pekeee wangeweza kutengemeza Wateja wa kutosha kabisa.Wakawa wanachangishana Sungura kila siku kwa ajili ya Market.

Wangeanza hata Kuchinja na kuchoma au kukaangana na kuonjesha watoto mashuleni, wanaenda Shule A wana ongea na Wanalimu, na baada ya hapo Sungura wanachinjwa hapo na wana chomwa na watoto wanaonjeshwa, Siku nyingine shule nyingine, siku nyingine shule nyingine siku nyingine kwenye Taasisi mnaonjesha stafu wote.
Wakitoka hapo Tafimuta Baa na wawe wana Supply nyama ya Sungura free kwa miezi 6 na wateja wanachomewa pale na wanaonjeshwa.

Zoezi hili likiwa serious mwaka mzima nina uhakika uhitaji utapaaa sana na utaanza kuona watu wanaulizia Sungura wa kwenda kula na sio kufuga tena.

Watoto wakaonjeshwa nyama lazima wakasumbue Wazazi wao wawanunulie Sungura wale.

Shida sasa ni wafugaji, mbinu hawana wamekalia kuangalia leo badala ya kuja na mikakati ya kutengeneza soko la Sungura.

Jiji la Dar wakipatikana wateja Serious hata 5000 jiji zima ni wengi sana hao.

Lakini hali ilivyo kwa sasa watu wanauziana tu wakafuge saaa hii sio kabisa.
Biashara ya mkojo wa sungura imefikia wapi..mana ndio lilikuwa lengo la kuhamasisha ufugaji wa sungura.
 
Nimeanza kufuga sungura just for nyama tu nimeanza na mmoja nataka wawe wengi by mwisho wa mwaka niwe nao hata 50
 
Hili Jambo limitekua linanifikirisha sana,kwanini kuku hana mpinzani? Wakati kuna vitoweo kibao vinavyoweza kushindana nae kwenye being,utamu na benefits kimwili?

Mpango wangu wa baadaye ni kufuga bata kwa wingi kisha nifungue bata joint. Pauzwe kila kitu bata,supu ya bata,makange ya bata,chips bata, chips mayai bata,bata choma, biriani ya bata nk.
Nina amini baada ya muda na promo ya kutosha biashara itakua na kuweza fungua joint nyingine.
Mimi lengo langu ni sungurs wana nyama tamu

Na wanazaa kwa fujo so biashara ya uhakika
 
Kama una sungura wengi, labda 500+
Fanya hivi:-
  • Ongea na bar zote kubwa hapo mjini
  • Ingia ubia na mwenye bar kwa siku x kuandaa tamasha la kula sungura choma
  • Wauzie wanywaji wa bia nyama choma ya sungura
  • Hapo utakuwa umetangaza soko
 
Tuachane na Tanzania, duniani ni sehemu gani kuna ulaji mkubwa wa nyama ya sungura.
 
kwani ishu ya kufuga Kware iliishia wapi
Kware mimi mpaka leo ba Kesho nawafuga kwa ajili ya Nyama, nilibadili Breed nikaleta Jumbo, nilikuwa na Wateja Wazungu na Wahindi sema nilikuwa nawapa wanaenda chinja wenyewe, stock ilipungua nikashitisha kwanza. Na pia kuna Dada mmoja alikuwa anapika sana Biliani nisha wahi mpatia kama 30 akapikia asieee alisumbuliwa sana.

Shida kubwa sisi tunakualili hio ni moja, Pili tunaraka watu watutengenezee soko, Yaaani mtu hawezi kutengeneza soko.

Kware nyama ina kazi nyingine ila siweze mention hapa kwa sasa
 
kwa kuwa watu hawajazoea nyama ya sungura inaweza kutengenezwa kuwa bidhaa iliyozoeleka kwa mfano sosage. kama kuna mtu amekwama kuuza sungura anitafute nitampa mbinu. nimewahi kumsaidia mtu baada ya kutapeliwa na kuuziwa mbegu na kizalisha tani moja ya sungura hapo dodoma.
 
kwa kuwa watu hawajazoea nyama ya sungura inaweza kutengenezwa kuwa bidhaa iliyozoeleka kwa mfano sosage. kama kuna mtu amekwama kuuza sungura anitafute nitampa mbinu. nimewahi kumsaidia mtu baada ya kutapeliwa na kuuziwa mbegu na kizalisha tani moja ya sungura hapo dodoma.
brother tuwasiliane my namba 0756638393
 
Wafugaji wengi wa Sungura wamebakia kufanya Biasjmhara inayo itwa Farmer to Farmer. Yaani anakuuzia na wewe ukafuge na wewe utayafuta mfugaji umuuzie akafuge na chain inaendelea.

Ni nadara sana kupata mtu anakuja kununua Sungura akachinje ale, kwamba anakuja shambani kwako anunue Sungura kadhaaa akachinje.

Hii ni kwa sababu Ulaji wa Sungura sio Utamaduni wa Watanzania ingawa wapo wanao wajua na walio kula Sungura pori, ingawa ukweli ni kwamba nyama ya Sungura ni tamu sana na ni nzuri kiafya nazani zaodi hata ya kuku.

WANAPO KWAMA
Wafugaji wengi hawana Visioni na wala plan, pia hawana Umoja, hili ni tatizo la Wa Tz wengi kila mmoja anapambana kivyake.

Wafugaji Wa Sungura wangeungana na wakaamua kabisa wataspend hata Maaka mzima kufanya Marketing pekeee wangeweza kutengemeza Wateja wa kutosha kabisa.Wakawa wanachangishana Sungura kila siku kwa ajili ya Market.

Wangeanza hata Kuchinja na kuchoma au kukaangana na kuonjesha watoto mashuleni, wanaenda Shule A wana ongea na Wanalimu, na baada ya hapo Sungura wanachinjwa hapo na wana chomwa na watoto wanaonjeshwa, Siku nyingine shule nyingine, siku nyingine shule nyingine siku nyingine kwenye Taasisi mnaonjesha stafu wote.
Wakitoka hapo Tafimuta Baa na wawe wana Supply nyama ya Sungura free kwa miezi 6 na wateja wanachomewa pale na wanaonjeshwa.

Zoezi hili likiwa serious mwaka mzima nina uhakika uhitaji utapaaa sana na utaanza kuona watu wanaulizia Sungura wa kwenda kula na sio kufuga tena.

Watoto wakaonjeshwa nyama lazima wakasumbue Wazazi wao wawanunulie Sungura wale.

Shida sasa ni wafugaji, mbinu hawana wamekalia kuangalia leo badala ya kuja na mikakati ya kutengeneza soko la Sungura.

Jiji la Dar wakipatikana wateja Serious hata 5000 jiji zima ni wengi sana hao.

Lakini hali ilivyo kwa sasa watu wanauziana tu wakafuge saaa hii sio kabisa.
Clouds Media wapewe hii kazi, wamepromote mihogo, chips aka zege kwa mafanikio, sidhani kama watashindwa kwenye kuhamasisha ulaji wa nyama ya Sungura.
 
Nimeanza kufuga sungura just for nyama tu nimeanza na mmoja nataka wawe wengi by mwisho wa mwaka niwe nao hata 50
Hao hamsini ni ndani ya miezi mitano tu, tena kwa Sungura jike na Dume mmoja tu. Sungura huwa azai, anakunya watoto 😁 😁 😁 😁 😁
 
Hao hamsini ni ndani ya miezi mitano tu, tena kwa Sungura jike na Dume mmoja tu. Sungura huwa azai, anakunya watoto
Hahahahahah nimeanza na sungura watatu nillihamasika na nyama yake aisee tamu sana ya kuku ikasubiri.

Nataka niwaongeze wawe atleast 10 (nawanunua) majike saba na madume 3.

Mahali niliko wanapatikana bei nafuu sana
 
Back
Top Bottom