Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nimelima miti aina hii ni mwaka wa 4 sasa tupeane changamoto
0 Reactions
3 Replies
855 Views
Habar naimani wote wazima, Binafsi n mwanafunz wa mwaka watatu naelekea kuhitimu masomo yangu ya degree ya Kwanza, Ninaa malengo makubwa na kilimo cha miti hususan MITIKI nimejarbu kufatilia...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji mbegu za mahindi DKC 777, DKC 90/89 lakini hazipatikani Karagwe, Ngara, Missenyi na Bukoba. Aliye na taarifa zilipo naomba anifahamishe pamoja na bei.
2 Reactions
27 Replies
4K Views
UKIPEWA SH.10000 UMFUKUZE KANGA KATAA, HUTAMPATA Tanzania inatajwa kama taifa linaloongoza kwa kuwa na mbuga pamoja na wanyama wengi duniani. Itapendeza iwapo tutakuwa tukizielewa tabia za...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Habar wanajamvi, nimeona nirudie hii mada kuhusu kilimo cha machungwa, maana nimeona watu wakidanganyana kuhusu kilimo cha machungwa, mimi ni mkulima mdogo wa zao hili na hiki ninachotoa ni uzoefu...
9 Reactions
53 Replies
21K Views
NAOMBA MNISAIDIE DAWA YA UTITIRI KWENYE KUKU WA KIENYEJI
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Kinadharia ufugaji wa sungura kibiashara ni jambo lenye kuleta matumaini sana, lakini kiuhalisia ni biashara yenye utata mkubwa sana kwa hapa kwetu Tanzania. Makampuni mengi yanayohamasisha...
7 Reactions
95 Replies
34K Views
Leo kwenye pitapita zangu mtandaoni nimeona post ya viongozi kugawa majembe ya mkono kwa wakulima huku mkuu wa wilaya akiwataka vijana wakachukue utajiri kwenye kilimo. Binafsi nimeona hilo...
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Habari wanajamvi. Je, una mifugo inayosumbuliwa na maradhi mbalimbali? Ningependa tutumie uzi huu kushare picha za wanyama wa kufugwa (ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, kuku, bata n.k)...
2 Reactions
1 Replies
847 Views
Habarini wadau, samahani eti maua gani au mti gani ambao ukipandwa nyoka hasogei kabisaa eneo hiloo?
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari za jioni wanajamvi, Kichwa cha habari chajieleza hapo juu, wadau nataka kufuga Kasuku lakini sijui naanzia wapi. Tafadhali naomba mwongozo wenu kwa mtu anayejua chochote kuhusu kasuku...
3 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari ndugu, Naomba msaada kujua ni mbegu ipi ya nyanya inafaa kupanda kipindi hiki cha miez ya 9 mpaka 12? Nipo Mkuranga.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukiachana tofauti ya bei ya njiwa huanzia elfu 10 pair moja ya njiwa Wa kawaida, elfu 60 kwa wale weupe, na wengine wapo wanauzwa hadi laki 8 kwa pair moja! (Kazi moja ya njiwa ni...
28 Reactions
256 Replies
53K Views
Hapa wahaya, wanyakyusa na wachaga, wanyiha, wangoni nk nipeni experience ya kilimo cha kahawa , naingia makete serious kulima kahawa, soko la kahawa ni uhakika, though bei zinapanda na kushuka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Natarajia mko salama wakuu na wanajamii forum. Niko na swali ambalo natarajia hapa ni pahari pazuri pa kupata jibu, sasa nataka kuwekeza kiwanda au viwanda vya kutengeneza juices, toka mananasi...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari ndugu wana JamiiForums, nimekuwa nikijiuliza maswali kadhaa kuhusiana na jitihada za sekta yetu ya Nishati katika kuibua njia mbalimbali ambazo zimekuwa na tija katika utunzaji wa mazingira...
1 Reactions
0 Replies
768 Views
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amekitaka Kiwanda cha Kuzalisha Bidhaa za Kibaolojia Tanzania (TBPL) kuzalisha kibiashara viuatilifu hai (Biopesticides) kwa kasi kwa...
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Nilisimama kulima nyanya kwa muda mrefu, na sasa nataka kurudi kulima nyanya tena. Naombeni msaada wenu ipi mbegu bora ya nyanya kwa sasa na haipigwi na kinyausi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Na Laudence Simkonda -Momba Mbunge wa Jimbo la Momba Mheshimiwa Condester Sichalwe (Mundy) ameiomba Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko(CPB) kuanza kuona uwezekano wa kujenga kinu cha kuchakata...
1 Reactions
1 Replies
672 Views
Hlw guyz, Nashida na vifaranga vya kanga vya wiki moja nipo Kibaha Pwani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom