D DENAMWE JF-Expert Member Joined Dec 29, 2019 Posts 871 Reaction score 885 Oct 26, 2023 #1 Nipo Karagwe Kagera. Nahitaji dawa ya magugu kwa ajili ya kupalilia mahindi. Nisaidiwe kuipata pamoja na bei yake.
Nipo Karagwe Kagera. Nahitaji dawa ya magugu kwa ajili ya kupalilia mahindi. Nisaidiwe kuipata pamoja na bei yake.
Sicario poison JF-Expert Member Joined Jan 1, 2021 Posts 2,327 Reaction score 4,574 Oct 26, 2023 #2 Siti ya mbele kabisa
S Saad10 Member Joined Aug 2, 2017 Posts 39 Reaction score 29 Oct 29, 2023 #4 DENAMWE said: Nipo Karagwe Kagera. Nahitaji dawa ya magugu kwa ajili ya kupalilia mahindi. Nisaidiwe kuipata pamoja na bei yake. Click to expand... Tsh 15000
DENAMWE said: Nipo Karagwe Kagera. Nahitaji dawa ya magugu kwa ajili ya kupalilia mahindi. Nisaidiwe kuipata pamoja na bei yake. Click to expand... Tsh 15000
Nick J Vuitton Member Joined Oct 6, 2016 Posts 58 Reaction score 156 Oct 29, 2023 #5 Saad10 said: Tsh 15000View attachment 2796750 Click to expand... Hii utaunguza mahindi vibaya mno hii inatakiwa upoge kabla haujaotesha kama Kuna majani unampeleka Chaka mwenzio
Saad10 said: Tsh 15000View attachment 2796750 Click to expand... Hii utaunguza mahindi vibaya mno hii inatakiwa upoge kabla haujaotesha kama Kuna majani unampeleka Chaka mwenzio