Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Halisomeki vema akilini ila inawezekana..
Nimekuwa nikiona majeneza yakitengezwa Manzese tu.. kwingi ni vijiwe bya kuuzwa..Nimeona wafiwa wakifuta marehemu hospitalini na kuna nyakati hifadhi ya marehemu inakuwa shida hasa hospitali kubwa mijini..
Wazo:
Mjasiriamali/wajasiriamaliali wakithubutu wanaweza kabisa kufanya biashara zote mbili kwa mkupuo.. kuwa na eneo.. mf. kwa DSM...kimara..Tegeta..Mbagala..Pugu.. wanakodi jengo ambalo ndani kuna kuwa na miundominu ya kuhudumi marehemu kuanzi kwatoa hospitali husika, kuwaanda, kuwatunza, kuwaweka katika majeneza na hadi kuwakabidhi wafiwa.. kwa gharama nzuri..
Muhimu:
-Lazima Bisahara isajiliwe
-Marehemu asihifadhiwe mpaka iwepo hati ya kifo toka kwa msajili wa vizazi na vifo. hii ni kuepuka waliouawa kwa uhalifu.
Nawakilisha..
Nimekuwa nikiona majeneza yakitengezwa Manzese tu.. kwingi ni vijiwe bya kuuzwa..Nimeona wafiwa wakifuta marehemu hospitalini na kuna nyakati hifadhi ya marehemu inakuwa shida hasa hospitali kubwa mijini..
Wazo:
Mjasiriamali/wajasiriamaliali wakithubutu wanaweza kabisa kufanya biashara zote mbili kwa mkupuo.. kuwa na eneo.. mf. kwa DSM...kimara..Tegeta..Mbagala..Pugu.. wanakodi jengo ambalo ndani kuna kuwa na miundominu ya kuhudumi marehemu kuanzi kwatoa hospitali husika, kuwaanda, kuwatunza, kuwaweka katika majeneza na hadi kuwakabidhi wafiwa.. kwa gharama nzuri..
Muhimu:
-Lazima Bisahara isajiliwe
-Marehemu asihifadhiwe mpaka iwepo hati ya kifo toka kwa msajili wa vizazi na vifo. hii ni kuepuka waliouawa kwa uhalifu.
Nawakilisha..