Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

wadau mwaka huu baada ya kusoma michango ya baadhi ya wadau niliamua kujiingiiza kwenye hiki kilimo hapa nakaribia kuvuna naomba ambae anaweza kujua soko zuri la vitunguu anijulishe nimelima mbeya...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
ORiflame ni kampuni ya Sweden ambayo inasambaza cosmetics, perfume za kike na kiume .ni networking business ambayo kujiunga kwake ni sh elf9 tu na kuchukua mzigo kwa laki moja tu. Unachotakiwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
kwenu wadau wenye ufahamu na hili, bila shaka wengi wetu kule tunakofanyia/njiani tunamopita kuelekea kwenye pilika zetu za kila siku tumekuwa tukikutana na watu pembezoni mwa barabara wakiwa na...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Justice Farm Products inawatangazia kuwauzia Vifaranga na Kuku wakubwa wa Kienyeji kama wanavyoonekana katika picha hizo. Bei za bidhaa zetu ni kama ifuatavyo:- Kuku Kienyeji Wakubwa -...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyosema. Mwenye kujua hiii, naomba ani PM. Karibuni.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
I have three project. One is located at Kimbiji kwa chale 45 kms from ferry the second is at puna 48 kms from ferry both are on the ocean side within 1.5kms while some plots are beach plots. The...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachuo mwaka wa 2 nilikuwa natafuta best business ya kuanza nayo na yenye mtaji mdogo, roughly 400 thousands.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni yapi mahitaji ya msingi kuanzisha huduma hii?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari... Kama kuna watu wa EATV anapita humu au kuna wa2 ambao wameangalia kipindi cha mtambuka. Naomba msaada wa kuunganishwa na mjacriamali anaitwa FERUZ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya weekend ndugu zangu. Naomba kujua bei ya mashine za kutengeneza juice ya miwa. Shukrani.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Natanguliza shukurani zangu kwa wajasiria mali na wadau wote wa sekta ya ufugaji. Niseme tu kwamba mmekua na mchango mkubwa katika kusaidia kuinua uchumi wa Watanzania. Leo hii naomba ushauri...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hi wanajamvi, kuna kipindi nilinunua eneo langu kubwa baadae nikagundua na kuambiwa kuwa ni eneo linalotuamisha maji, nafikiria sana kuweka kilimo cha matunda na miti, sasa kila nikitaka kupanda...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
mwenye uelewa wa soko la ndiz mzuzu dodoma anichek 0685733122
0 Reactions
0 Replies
3K Views
We prepare books of accounts, financial statements, VAT returns and business plans. Call 0674 579 575 or 0782 237 212
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Si tatizo geni hasa Kwa vijana wengi ambao wana aanza kutafuta maisha nikiwemo na mimi mwenyewe kua na tabia ya "matumizi mabaya ya fedha " binafsi napenda sana luxury stuffs sio lazima kiwe na...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
wadau naombeni msaada kwa anaejua utaratibu Wa kufungua duka la pembejeo za kilimu...Ni vigezo gani hutumika Ila mtu awe na sifa ya kufungua duka????
0 Reactions
0 Replies
5K Views
wadau Mimi naishi Dar es salaam nina ndoto za kua mfanyabiashara. swali nauliza zipi njia simple za kuchukua mkopo hasa pale unapokua huna assets?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kama mnavyojua maisha kwa sasa yamekua magumu na inahitaji kutumia nguvu na akili ya ziada hivyo katika kujibana kwangu nimedunduliza sh.600000)laki sita. Hivyo nimekuja kwenu mnipe wazo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ndugu wajasiliamali wenzangu naomba kuulizia hali ya soko ipoje kwa wale wanaofuga kuku wa nyama yaani Broilers kwa mikoa ya Dar es salaam na Morogoro. je ni wakati gani yaani kuanzia January...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kuna soko nimeliona la mikate na maandazi kijiji fulani,naona panafaa kufungus kabekary kadogo,<kijiji kins watu kama elfu tano ,ukijumlisha na vijiji vys pembrni wanafikia elfu 10+ Naomba...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Back
Top Bottom