Habari ya mwisho WA wiki wana jukwaa, poleni Sana na majukumu ya kila siku. Sasa kilichonileta hapa Ni kwamba Mimi Nina nyumba nahitaji mkopo kwenye taasisi za fedha, sasa kila nikienda...
Wadau nimeskia kuna taasisi inaitwa vicoba saccos saving inajihusisha na kuwasaidia wajasiliamali kuwapa mikopo ya riba nafuu na dhamana yake ni.ndogo pia(ela)
ila naskia wanatoa kupitia online...
Habari za jion wana jamii wenzangu!!, hakika mko na afya njema
Nimekuja humu kupata more details kuhusu biashara ya mkaa ambayo naitegemea kuianza miez michache ijayo
By the way nimepata baadhi...
Natafutua mteja ambaye yupoo serious kwa kununua kuku wa kienyejii jumla nauza 12000 reja reja kuanzia 15000 my namba 0653441636 au 0763592111 karibuni
Habari wanajamvi,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kimoja hapa dodoma,nahitaji kujua nitaweza kufanya biashara gani wakati nipo chuo. hata kama itahitaji usimamizi wa muda kidogo nikiwa off campus...
Ninauza asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka tabora. Ila masoko ndio yananisumbua kwa anayeweza kunisaidia wapi ninaweza nikauza. Nipo dar sinza karibu na meeda. Ndoo ya lita ishirini ni tsh...
Ndugu wana JF. Nauza asali ya nyuki wakubwa ila soko bado linanisumbua naombeni msaada wenu. Nauza kuanzia ujazo wa lita moja kwa sh 10000 pia ninauza jumla dum la lita ishirini kwa sh 160000...
Wapendwa poleni na mihangaiko. Binafsi nahtaj kulima alizeti huku maeneo ya iringa. Na cjajua soko lake likoje kwa huku. Naomben msaada wa soko la alizeti.
Habari zenu wadau,
Karibuni wateja katika biadhara yangu ndogo nnayoifanya muweze kuniwezesha mjasiliamali mwenzenu. Natengeneza na kuuza sabuni za maji zenye ubora wa hali ya juu na harufu...
Nina mkopo NMB, NIFANYEJE ILI NIHAMISHIE MKOPO CRDB ILI NISIWE NA DENI NMB. Lengo ni kupanua ujasiliamali. taratibu zipi zifuatwe kwa mtumishi wa umma?
Wakuu Naomba Msaada Nyanya Zinashambuliwa Na Funza Wadogowadogo Wa Kijani Wanakaa Kwenye Majani Yakianza Matunda Wanatoboa Na Kuingia Kwenye Matunda.Nimejaribu Dawa Nyingi Kama Dudu...
Habari wadau wa JF..
Mimi ni mkulima wa kati wa mpunga (sio mkubwa sana wala mdogo sana). Kwa mwaka naingiza wastani wa gunia 1000 za mpunga. Huwa natenga kiasi kama gunia 10 kwa chakula cha...
Maziwa fresh yanauzwa kwa kiasi chochote unachotaka kuanzia lita 2 mpaka lita 200 kwa kila siku
=>maziwa hayajachakachuliwa kwa kuwekwa maji au kitu chochote yapo kama yalivyokamuliwa...
Nahitaji kujua ni kilimo gani kitafaa kwa uangalizi wa mbali au maudhulio ya shamba ambayo ni angalau mara moja baada ya wiki tatu au mbili.
Kila nikijaribu kitu chchite naishia kuvutiwa na...
Nipo Tunduma Soko la kimataifa, ninauza na kununua mazao(Nafaka) kama vile Maharage, Ulezi, Mahindi, Karanga, mchele/mpunga. Natafuta wadau walioko ktk masoko tofauti kama vile Dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.