Habari wadau wote,
Nataka kufungua duka la kuuza madawa ya mifugo ila kwa sasa nataka niweke ya kuku kwanza,mtaji wangu ni mdogo kama 3M (milion tatu ),tayari nimeshalipia fremu.Garama ni...
Habari wakuu,
Naomba msaada wa kujua/kuielewa kampuni tajwa hapo juu(OLI FRAME) nirekebishe km nimekosea spelling.
Nimekutana na muhusika wao mmoja jana na kunitaka nijiunge nao,ameniambia...
Poleni na majukumu wakuu,
Nafuga Kuku wa nyama, lakini hadi kufikia Leo wana wiki ya nne maendeleo yao sio mazuri, kwa kifupi wamedumaa! Nilikuwa nawapatia chakula cha CPF lakini hawakui kama...
Habari wadau. Nina kuku wa kienyeji 30 sasa naomba kujua ni kuku wa aina gani ambao ni mahususi kwa nyama yenye quality ambayo ni mbegu kubwa, tamu,laini na isiyo na kamba ili niweze kumix na hawa...
Habari wadau?
Naomba kujua Kuhusu:
*Aina za mashine hizo
*Bei zake
*Upatikanaji wake(Mahali zinapopatikana)
*Faida zake Mfano (kwa wiki mpaka mwaka)
n.k n.k...
Nimejifunza kitu kimoja, kama kila anayepata ushauri humu ndani na akatekeleza na kuleta mrejesho kama wafanyavyo baadhi ya watu wachache, basi ingezidi kujenga ari ya Ujasiriamali, ninaanza...
ndugu zangu naomba kwa mwenye ujuzi wa vitu hivi nataka kuanza biashara ya kuuza chostic au koni au ice - cream lakini cjajua kama huwa zinafaida naombeni mnijuze ndugu zanguni wenye uzoefu tafadhali.
Mayai ya kwale yanapatikana kwa wateja wa dar na mwanza kwa bei ya 20000 trey au 15000 kwa wateja wa jumla kuanzia trey 10 karibuni sana..
Mawasiliano 0715881870 au 0756933156
Habari wanajamvi wenzangu.
Naomba kujua nikitaka kufanya biashara ya kusafirisha mkaa kwenda kuuza nje ya nchi kuna utaratibu gani ambao napaswa kuufata.
Naomba wenye uzoefu au kusikia taarifa za...
Habari wana Jf,
Katika pita pita zangu za kutafuta biashara ya kufanya nilipita katika duka moja wanalouza bidhaa zilizotumika na kuona printer ndogo yenye uwezo wa kuscan, fax, kuprint picha na...
Wandugu habari zenu kama muonavyo kwenye picha ni viwanja viwili na kimoja kina nyumba imepangishwa ingine ndio tulikuwa tunajivuta tuimalizie lakini naona eneo hili ni zuri kama tungeviunganisha...
Habari zenu wakuu.
Naomba kama kuna mtu anajua namna ya kupata uzalishaji wa mwaka 2013/2014 na 2014/2015 wa zao la UFUTA , KARANGA NA CHOROKO. AU kama unahizo data.
Asanteni kazi njema.
Heshima mbele wakuu!
Nakuja kwenu kuomba ushauri ili niweze kufanya maamuzi yenye tija katika kuendeleza ujasiriamali wangu.
Iko hivi, mimi ninafanya biashara mbali mbali kwa kiwango changu sasa...
Hawa ni Hybreed kutoka India walio developiwa na Indbrow, hawa ni kati ya kuku wano kuwa very havy ambapo Jogoo wa miezi miwili hufikia kilo 2 huku mtetea akiwa na kilo moja na nusu, na wanaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.