Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Niko na tray 10 za mayai ya kuku wa kisasa nimetapokea leo, hivyo mwenye kujua wapi naweza pata huduma ya kuzitotolesha nitashukuru sana Niko Mwanza mjini
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Ninaombwa kupewa shule kuhusu biashara ya bajaji. Mkataba gani unaingia na dereva. Inahitaji repair nara ngapi kwa mwezi na kwa gharama gain?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ya mwisho WA wiki wana jukwaa, poleni Sana na majukumu ya kila siku. Sasa kilichonileta hapa Ni kwamba Mimi Nina nyumba nahitaji mkopo kwenye taasisi za fedha, sasa kila nikienda...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu! Naomba msaada natafuta Soko la uhakika la Machungwa na Parachichi kwa mkoa wa Mwanza! Masaada!
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau nimeskia kuna taasisi inaitwa vicoba saccos saving inajihusisha na kuwasaidia wajasiliamali kuwapa mikopo ya riba nafuu na dhamana yake ni.ndogo pia(ela) ila naskia wanatoa kupitia online...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa yeyote anaejua gharama za kujenga greenhouse anisaidie, japo najua zipo za size mbalimbali ila mchango wako no muhimu kwangu. Ahsante
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafutua mteja ambaye yupoo serious kwa kununua kuku wa kienyejii jumla nauza 12000 reja reja kuanzia 15000 my namba 0653441636 au 0763592111 karibuni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Mimi ni mwanafunzi wa chuo kimoja hapa dodoma,nahitaji kujua nitaweza kufanya biashara gani wakati nipo chuo. hata kama itahitaji usimamizi wa muda kidogo nikiwa off campus...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Ndugu wana JF. Nauza asali ya nyuki wakubwa ila soko bado linanisumbua naombeni msaada wenu. Nauza kuanzia ujazo wa lita moja kwa sh 10000 pia ninauza jumla dum la lita ishirini kwa sh 160000...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wapendwa poleni na mihangaiko. Binafsi nahtaj kulima alizeti huku maeneo ya iringa. Na cjajua soko lake likoje kwa huku. Naomben msaada wa soko la alizeti.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Karibuni wateja katika biadhara yangu ndogo nnayoifanya muweze kuniwezesha mjasiliamali mwenzenu. Natengeneza na kuuza sabuni za maji zenye ubora wa hali ya juu na harufu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nina mkopo NMB, NIFANYEJE ILI NIHAMISHIE MKOPO CRDB ILI NISIWE NA DENI NMB. Lengo ni kupanua ujasiliamali. taratibu zipi zifuatwe kwa mtumishi wa umma?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari wadau wa JF.. Mimi ni mkulima wa kati wa mpunga (sio mkubwa sana wala mdogo sana). Kwa mwaka naingiza wastani wa gunia 1000 za mpunga. Huwa natenga kiasi kama gunia 10 kwa chakula cha...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Maziwa fresh yanauzwa kwa kiasi chochote unachotaka kuanzia lita 2 mpaka lita 200 kwa kila siku =>maziwa hayajachakachuliwa kwa kuwekwa maji au kitu chochote yapo kama yalivyokamuliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta Mayai ya Bata maji kwa ajili ya kutotoresha. Mayai yasiwe na zaidi ya siku 5. Nipo Morogoro .ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nahitaji kujua ni kilimo gani kitafaa kwa uangalizi wa mbali au maudhulio ya shamba ambayo ni angalau mara moja baada ya wiki tatu au mbili. Kila nikijaribu kitu chchite naishia kuvutiwa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Unaweza kuziita bag huvaa wafanyakazi wa hotel na sehem nyingine. Kama unajua au unafaham zinapo tengenezwa plz MSAADA..0714 045 080.
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Habari za jioni, Nilikuwa naomba kwa mtu anaefahamu lolote kuhusu upandaji wa hii miti na ukuzaji wake kibiashara. Au kama kuna thread yoyote ambayo ilishawahi kujadiliwa kuhusu hii miti naomba...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
WENYE FIKRA KAMA ZANGU TUTAFTANETUJIAJIRI WENYEWE UKIWA DAR ITAKUA POA SANA, VIZURI TUKUTANE WASAP #0713 123 160 MAANA SITUMII JF MARA KADHAA.. ni kwa walio serious tu. #umoja ni ushindi, karibu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom