jema rashid
Member
- Oct 4, 2014
- 80
- 15
Napenda kufahamu kwa mtu yoyote au makapuni wanaonunua ufuta tafadhali.
Ukikosa mteja nitafute mkuu. Ila nataka ule mweupe
Mbona masoko mengi kwa mchina tabata,export mbagala na tanita,olam vingungut,ila vumilia kidogo uuze kwa faida
Sasa hivi wananunua kwa bei gni?
Jaman mwenye ufahamu kuhusu beibza ufuta kwa sasa
Tones of a good quality sesame are needed, price at Dar 2600/= - 2700/= (TZs) per kg. Call this number for more details 0716-966447.
UFUTA UFUTA - SESAME SESAME NEEDED - Agri-Hub Tanzania
Tones of a good quality sesame are needed, price at Dar 2600/= - 2700/= (TZs) per kg. Call this number for more details 0716-966447.
http://apf-tanzania.ning.com/profiles/blogs/ufuta-ufuta-sesame-sesame-needed
Mkuu makampuni yanafuata ufuta Ikwiriri na bei ya shamba ni 3000 per kg,umekaa Dar mtu akuletee kwa 2600? amka bro.
Naomba namba ya hao wa ikwiriri mkuu
Mkuu nam nataka kujiunga na hiyo biashara mkuu...but mm nataka kutoa shamba...ni nipe contract zako tujue tunafanyaje mkuu