Zack
Member
- Jun 22, 2012
- 18
- 3
Mimi ni mfugaji nyuki,nimekuwa nikitumia njia ya kawaida ya kukamua masega ya nyuki ili kupata asali.
Nahitaji mashine ili niweze kuwa bora zaidi kwenye utengenezaji wa asali basi kwa yule anayefahamu zinapoatika na bei zake naomba anisaidie information.
Natanguliza shukrani.
Nahitaji mashine ili niweze kuwa bora zaidi kwenye utengenezaji wa asali basi kwa yule anayefahamu zinapoatika na bei zake naomba anisaidie information.
Natanguliza shukrani.