Msaada: mashine ya kukamua asali

Msaada: mashine ya kukamua asali

Zack

Member
Joined
Jun 22, 2012
Posts
18
Reaction score
3
Mimi ni mfugaji nyuki,nimekuwa nikitumia njia ya kawaida ya kukamua masega ya nyuki ili kupata asali.
Nahitaji mashine ili niweze kuwa bora zaidi kwenye utengenezaji wa asali basi kwa yule anayefahamu zinapoatika na bei zake naomba anisaidie information.

Natanguliza shukrani.
 
Mimi ni mfugaji nyuki,nimekuwa nikitumia njia ya kawaida ya kukamua masega ya nyuki ili kupata asali.
Nahitaji mashine ili niweze kuwa bora zaidi kwenye utengenezaji wa asali basi kwa yule anayefahamu zinapoatika na bei zake naomba anisaidie information.

Natanguliza shukrani.

Hitaji zuri na sahihi. Je? upo wapi? Ila jaribu kufika ofisi za SIDO mkoa uliopo au hata ofisi za TCCIA unaweza kupata sehemu ya kuanzia. SIDO hutakosa jibu kwani wamekuwa msaada mzuri kwa wajasiriamali wengi.
 
Nimejaribu fika sido lakini hawana mashine hizo.
Nilienda kuwa consult kwenye maonyesho ya sabasaba.
 
Hiv ni kweli utengenezaj wa asal unalipa
 
Unalipa vizuri tuu kama ukiwa na asali nzuri na wateja wakaikubali.
 
Mimi ni mfugaji nyuki,nimekuwa nikitumia njia ya kawaida ya kukamua masega ya nyuki ili kupata asali.
Nahitaji mashine ili niweze kuwa bora zaidi kwenye utengenezaji wa asali basi kwa yule anayefahamu zinapoatika na bei zake naomba anisaidie information.

Natanguliza shukrani.

mkuu ni PM
 

Attachments

  • extractor-9frame.jpg
    extractor-9frame.jpg
    14.9 KB · Views: 367
  • frame extracter.jpg
    frame extracter.jpg
    7.1 KB · Views: 552
  • Honey-Extractor.jpg
    Honey-Extractor.jpg
    59.8 KB · Views: 367
wasiliana na Sido wanazo,kama watakuwa wamemaliza tuwasiliane nikuagizie toka china
 
Back
Top Bottom