Hitaji la taarifa ya fursa za uwekezaji Makambako

tired

Senior Member
Feb 25, 2014
107
23
Kwa yeyote anaeijua Makambako vizuri naomba anifahamishe Mambo yafuàtayo
1) Ardhi kwa ajili ya kilimo inapatikana kwa shilingi ngapi kwa heka

2) Mazao yapi ya biashara yanastawi sana


3) Kulingana na Hali ya Hewa ya Makambàko ufugaji wa kitu gani unakubali sana

3) kama kuna Fursa yoyote ya kibiashara hapo MAKAMBAKO Namba unifahamishe

Nilipita Tu Makambako nilipapenda hivyo Napenda kuwekeza hapo Shughuli za Uzalishaji wa kilimo na Ufugaji
 
Kwa yeyote anaeijua Makambako vizuri naomba anifahamishe Mambo yafuàtayo
1) Ardhi kwa ajili ya kilimo inapatikana kwa shilingi ngapi kwa heka

2) Mazao yapi ya biashara yanastawi sana


3) Kulingana na Hali ya Hewa ya Makambàko ufugaji wa kitu gani unakubali sana

3) kama kuna Fursa yoyote ya kibiashara hapo MAKAMBAKO Namba unifahamishe

Nilipita Tu Makambako nilipapenda hivyo Napenda kuwekeza hapo Shughuli za Uzalishaji wa kilimo na Ufugaji

Makambako specifically ni centre ya biashara, kilimo labda nje kabisa. Fursa za biashara ni nzuri pale. Kuna viwanda vya kukamua mafuta ya alizeti na bidhaa za mbao. Kwa maneno mengine pale ni collection point!
 
Makambako specifically ni centre ya biashara, kilimo labda nje kabisa. Fursa za biashara ni nzuri pale. Kuna viwanda vya kukamua mafuta ya alizeti na bidhaa za mbao. Kwa maneno mengine pale ni collection point!

Pamoja sana Mkuu..... Nje kabisa inaweza fika kilometa 20 Toka Makambako Mjini?
 
Pamoja sana Mkuu..... Nje kabisa inaweza fika kilometa 20 Toka Makambako Mjini?[/QUOTE]

Itategemea upande upi,by the way,upande wa kuelekea Mbeya ni kilimo cha arizeti,karanga,kunde,matikiti kwa sana,na the opposite side mahind,maharage na viazi kwa sana
 
Pamoja sana Mkuu..... Nje kabisa inaweza fika kilometa 20 Toka Makambako Mjini?

Itategemea upande upi,by the way,upande wa kuelekea Mbeya ni kilimo cha arizeti,karanga,kunde,matikiti kwa sana,na the opposite side mahind,maharage na viazi kwa sana[/QUOTE]

aksante sana ndugu. Ngoja nitafute soko la miongoni mwa hayo mazao alafu nishushe nguvu katika kilimo
 
Si mwenyeji wa Makambako,ila napafahamu kwa sehemu,

Makambako hakuna ardhi ya kilimo kama sehemu nyingine za Njombe, njia ya Mby ardhi yake mitaa ya Wanging`ombe mpaka kufika Iyayi/Igawa ardhi yake imechoka sana, pia mvua ni za kuvizia. Njia ya Njombe/Songea kuanzia Makambako mpaka unafika misitu ya Tanwatt hakuna ardhi ya kununua, sbb hata wenyeji wenyewe haiwatoshi, ila ukienda Ikongosi upande wa mashariki wa Makambako kama unaenda Ninga/Lima unaweza pata ardhi ya kilimo.

Kwa njia ya Iringa, labda uingie Malangali, lakini vijiji vya Mbalamaziwa mpaka Nyororo, unaweza pata ardhi kwa mazao kama maharage,alizeti na mahindi kiasi, ila mvua maeneo hayo inasumbua. Maharage mengi sana hasa soya unayoyaona Makambako yametoka Ikondo/Nyave/Kitole/Lima na Ukalawa. Huko kuna ardhi ya kutosha.
 
Si mwenyeji wa Makambako,ila napafahamu kwa sehemu,

Makambako hakuna ardhi ya kilimo kama sehemu nyingine za Njombe, njia ya Mby ardhi yake mitaa ya Wanging`ombe mpaka kufika Iyayi/Igawa ardhi yake imechoka sana, pia mvua ni za kuvizia. Njia ya Njombe/Songea kuanzia Makambako mpaka unafika misitu ya Tanwatt hakuna ardhi ya kununua, sbb hata wenyeji wenyewe haiwatoshi, ila ukienda Ikongosi upande wa mashariki wa Makambako kama unaenda Ninga/Lima unaweza pata ardhi ya kilimo.

Kwa njia ya Iringa, labda uingie Malangali, lakini vijiji vya Mbalamaziwa mpaka Nyororo, unaweza pata ardhi kwa mazao kama maharage,alizeti na mahindi kiasi, ila mvua maeneo hayo inasumbua. Maharage mengi sana hasa soya unayoyaona Makambako yametoka Ikondo/Nyave/Kitole/Lima na Ukalawa. Huko kuna ardhi ya kutosha.

aksante Sana Malila kwa uchambuzi wa kina..
 
Si mwenyeji wa Makambako,ila napafahamu kwa sehemu,

Makambako hakuna ardhi ya kilimo kama sehemu nyingine za Njombe, njia ya Mby ardhi yake mitaa ya Wanging`ombe mpaka kufika Iyayi/Igawa ardhi yake imechoka sana, pia mvua ni za kuvizia. Njia ya Njombe/Songea kuanzia Makambako mpaka unafika misitu ya Tanwatt hakuna ardhi ya kununua, sbb hata wenyeji wenyewe haiwatoshi, ila ukienda Ikongosi upande wa mashariki wa Makambako kama unaenda Ninga/Lima unaweza pata ardhi ya kilimo.

Kwa njia ya Iringa, labda uingie Malangali, lakini vijiji vya Mbalamaziwa mpaka Nyororo, unaweza pata ardhi kwa mazao kama maharage,alizeti na mahindi kiasi, ila mvua maeneo hayo inasumbua. Maharage mengi sana hasa soya unayoyaona Makambako yametoka Ikondo/Nyave/Kitole/Lima na Ukalawa. Huko kuna ardhi ya kutosha.
Mkuu salama
Kuna maharage yanaitwa crosskoko kama sijakosea wanasema yanalimwa sana makambako,je vijiji gan vinalima?
 
Mkuu salama
Kuna maharage yanaitwa crosskoko kama sijakosea wanasema yanalimwa sana makambako,je vijiji gan vinalima?

Makambako ni mji hakuna kilimo pale, Makambako ni soko la wakulima toka wilaya za Njombe, Makete, Ludewa, Madaba na songea. Ila vijiji maarufu kwa kilimo cha maharage ni Ikondo ( 80Km from Makambako), Nyave, Ninga, Lima, Ruaha, Itika,Kitole. Vingine ni Wino Madaba, Ukanda wa Lupembe na Ukarawa. Ila sijui aina hiyo unayosema, ngoja nimuulize mdau wangu wa Ikondo.
 
Makambako ni mji hakuna kilimo pale, Makambako ni soko la wakulima toka wilaya za Njombe, Makete, Ludewa, Madaba na songea. Ila vijiji maarufu kwa kilimo cha maharage ni Ikondo ( 80Km from Makambako), Nyave, Ninga, Lima, Ruaha, Itika,Kitole. Vingine ni Wino Madaba, Ukanda wa Lupembe na Ukarawa. Ila sijui aina hiyo unayosema, ngoja nimuulize mdau wangu wa Ikondo.
Sawa mkuu
Niulizie maana nimeambiwa yapo mengi sana
Aina hiyo ila sijajua ni kijiji gani
 
Haya hapa
 

Attachments

  • 15035613868211447813960.jpg
    15035613868211447813960.jpg
    61.1 KB · Views: 50
Back
Top Bottom