Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ndugu wanajf nimeamua kuingia kwenye kilimo cha mpunga mbeya but sielewi wapi pa kuanzia
Km kuna anaeelewa naomba kujulishwa mchanganuo mfano gharama za ukodishaji shamba heka ni bei gn na mchanganuo mwengine
Km kuna anaeelewa naomba kujulishwa mchanganuo mfano gharama za ukodishaji shamba heka ni bei gn na mchanganuo mwengine