Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu naombeni mnisaidie huu ni ugonjwa gani maana unasumbua sana hasa vifaranga, nipeni mawazo ya sawa gani itawatibu?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
niko mpanda nina sh 200000 ninaomba ushauri nifanye biashara gani
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wapendwa naipenda sana mbolea ya super gro na kama na we mwenzangu una mbolea nzuri tujuze katka uzii huu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
10K Views
M
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Imebainika kuwa sehemu kubwa ya mazao ya chakula yanayohifadhiwa katika maghala hupotea kutokana na kukosekana kwa njia bora za uhifadhi wa chakula. Hali hiyo inatajwa kupunguza thamani ya mazao...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
habari wakuu....mpapai wangu umekua sana na unazaa kwa sasa...ila maua yake yanashambuliwa sana kila likianza kutengeneza papai linakufa..mapapai machache sana yamesurvive..naomba kujua nipulizie...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
wamekufa kuku 2,na sijajua haswa niwapatie Dawa ipi kwakua sijajua ugonjwa wake DALILI Wanakunya kinyesi cha kijani+cheupe wanasinzia sinzia Wanatoa udenDa Tafadhali kwa mtu anayefahamu ni ugonjwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nahitaji mbegu ya mihogo aina ya kiroba yakutosha heka 4. niko mkuranga - Nyamalonda.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Plz Msaada mwenya kujua mchanganyiko mzuri wa chakula cha mbwa ili niweze changanya mwenyewe
1 Reactions
10 Replies
25K Views
Wakuu habari... niende moja kwa moja kwenye mada... nina shamba Bagamoyo kidomole ekari 10 ila lina magugu na hamna maji... ninafikiria sijui nifanye kilimo gani/kitu gani ambacho hakitaweza...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za asubuhi. Kama kichwa cha habari kinavyosema. Naomba kusaidiwa kupata directions hizo kutokea makumbusho Dar-es-Salaam. Thank you in advance. God bless you
0 Reactions
12 Replies
4K Views
kwa mwenye shamba wilaya karatu nahitaji shamba la kukodi,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jambo la muhimu kuliko yote kwa wale wenzangu na mimi tunaotegemea kilimo cha mvua ni kujua ni lini hasa mvua hizo zinaanza. Hii itakisaidia kujua kuwa ni lini uandae mashamba na upandaji unaanza...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
NIMENUNUA SHAMBA MKURANGA KWA NIA YA KUANZA KILIMO MWAKA ULIYOPITA NILILIMA NYANYA NA NILIVUNA VIZURI HILA NILILIMA KAMA EKARI 2 TU ZILIBAKI EKARI 10,KWAHYO NIMEONA KULIKO KUACHA PORI WAKATI...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Kama kichwa cha thread hapo juu kinavyojieleza. Naomba mwenye connection na wadau Wafugaji ili ninunue Jogoo mzuri Chotara kwa ajili ya mbegu. Nahitaji pia vifaranga chotara kuanzia 50 hivi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Viko 9 vimetotolewa Leo Kwamawasiliano tupigie 0717164792 au 0625588676
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu natamani kuwekeza hapo ila soko lake sijui likoje naomba mnipe mwangaza kidogo japo nipate imani ya kujikita hapo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF nimekutana na changamoto leo nilipoulizwa juu ya maharage ya FIWI na huyo mtu akaniambia yana soko sana kenya na india, naomba mnisaidie haya maharage yanalimwaje, mbegu inapatikana wapi...
2 Reactions
7 Replies
12K Views
kilimo cha samaki ni kilimo rahisi saanaa na ni kilimo kinachotumia mahitaji rahisi na ya kawaida kama vile aridhi na maji. lakini pia kilimo hichi hukumbwa na changamoto mbalimbali.kama vile...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza sungura wa kisasa wapo mbezi makabe Dar...newzealand white,dutch na newzealand black mmoja 30,000 Nipo mbezi makabe Call/whatsapp..0753534514
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom