UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
Wadau Nina bata wengi so chini ya 100 wapi nitapata soko la kuwauza.
Ni kweli, mimi nilishawahi kusikia wimbo wa taarabu wenye kibwagizo "nyama ya bata ni tamu"Bats ana Nyama nyingi sana kushinda ya kuku
Wachina wanakula karibu kila kitu, hata Wahenga wa huko huko Asia wana usemi "Chinese eat anything that crosses"Wachina wanakuwa sana bata
Ni kweli mkuu nyoka na konokono mwao hata chura na wadudu piaWachina wanakula karibu kila kitu, hata Wahenga wa huko huko Asia wana usemi "Chinese eat anything that crosses"