Masada tafadhari limejitokeza tatizo lingine

Masada tafadhari limejitokeza tatizo lingine

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,251
Reaction score
2,131
Kwanza naomba nitoe shukrani zangu member wote walionipa ushauri na hatua za kuchukuwa katakana na tatizo kwa kuku wangu.Nilienda kwa mtaalamu wa mifugo nikampa maelekezo nashukuru nilipata dawa for free of charge nikawapitia wale kuku wagonjwa.
Thanks God they're doing fine lakini nimeona tatizo lingine kwa baadhi ya kuku.Baadhi ya kuku wanatoa kamasi zenye mchanganyiko na damu kwenye pua zao.
Naomba msinichoke naomba msaada wenu tafadhari.Together we can
Asanteni
 
Kwanza naomba nitoe shukrani zangu member wote walionipa ushauri na hatua za kuchukuwa katakana na tatizo kwa kuku wangu.Nilienda kwa mtaalamu wa mifugo nikampa maelekezo nashukuru nilipata dawa for free of charge nikawapitia wale kuku wagonjwa.
Thanks God they're doing fine lakini nimeona tatizo lingine kwa baadhi ya kuku.Baadhi ya kuku wanatoa kamasi zenye mchanganyiko na damu kwenye pua zao.
Naomba msinichoke naomba msaada wenu tafadhari.Together we can
Asanteni
Kwa nini hajarudi kwa mtaalamu?
 
Ulizia kwenye maduka ya dawa za Kuku watakupa dawa halafu badilisha na hiyo picha avatar yako haiendani na vitu unaongea....haina maadili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom