Karbu Chuo cha Mifugo Hagafilo upate elimu bora kuhusu Tiba na Uzalishaji wa mifugo kwa ngazi Astashahada(CHETI) Stashahada (DIPLOMA) piga 0762940676 kwa mawasiliano
Wana-JF,
Natafuta matank aina ya IBC. Nataka kununua hivyo naulizia upatikanaji wake na bei zake.
Niko Dar es Salaam. Mwenye kufahamu wapi nitapata haya matank ya IBC aniambie na pia nitayapata...
Wadau assalam,
Nadhani Ijumaat imekaa sawa,
Nauliza dawa kali ya wadudu wanaotambaa kama vile mende, sisimizi,kunguni, chawa na mchwa.
Tafadhali anaejuwa anijuze jina, pia hata zinakopatikana...
Nilikuta uzi hapa wenye kichwa Nawezaje kupata Ng'ombe bora wa maziwa. Nikaacha email yangu kwa mawasiliano na maelezo kuwa nitamsaidia kupata ng'ombe bora kutoka Meru Arusha eneo pekee nchini...
Kufika: Njoo jirani na njia ya kuelekea standi ya daladala ya mawasiliano hapa Ubungo. Ni pm au WhatsApp hii namba 0626641591. Fuga ng'ombe wa maziwa, mahitaji ya maziwa ni makubwa sana mjini...
wanyama wadogo: Kuku Sasso ,Sungura,Bata Mzinga etc. Ni rahisi Kwa Watumie WA kipato kidogo hivyo inaweza kuondoa Umaskini na Kuboresha lishe katika Jammii hasa Watoto!
Kwa kweli hawa biumbe ni wagumu kuwapata,na ukiwapata bei yake inakuwa kubwa sana kwa kilo, we are talking about more than twenty something shillings per kilo for 'dagaa',but that's not the case...
Naomba kujuzwa kama chuo kikuu cha sokoine wanatoa kozi ya ufugaji wa samaki kwa wajasiriamali .Hii ni fursa ambayo naona inalipa sana lakini ningependa kupata ujuzi wa kutosha kabla sijaingia...
habar wandugu, Naomba kuuliza je nikianza kuotesha kitinguu mwezi wa kumi na moja nitapata mazao vizur au nisubiri mwakan mwez march? Naomben ushaur ukanda wa Kilimanjaro same
Red worm au minyoo wekundu wengi wetu tunaelewa ni kwa ajili ua kulishia kuku na samaki, Ila ina kazi.nyingine ambayo ndo kubwa zaidi, nayoni kuzalishia mbolea.
Red worm huzalisha mbolea za aina...
Habari wanaJF, Nimetengeneza uzi huu ili kusaidia kurahisisha Biashara kati ya Mkulima na Mnunuzi. Kwa yeyote mwenye mazao au anahitaji mazao Basi Ukumbi ni wako!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.