Hbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.
Nmekutana na post hii huyu mzaz alipost wapo ikulu
naomben mniambie wanafugwaje?
na ni ruhusa mtu yeyote kuw naye nchini ama had uwe na license?
sielewi kitu mnijuze
UGONJWA WA KUHARA DAM
(Coccidiosis) KWA KUKU:
Na Dr Khalfan 0752367114
Ugonjwa huu husababishwa na vimelea aina ya Protozoa na hushambulia kuku wote wakubwa na
wadogo ila huathiri zaidi kuku...
Hatuna presha wala hofu asbh tukiamka kazi kubwa kufungua tu mlango kuku hao wanasepa zao jioni wakishaingia tunafunga,hatujui kinga wala tiba hatujawahi kununua chochote dukani kwa ajili ya kuku...
Niko mkoani Dodoma kama mjasiliamali wa kilimo ila kuna fursa mbili nimezichungulia.
1:Blue kopa: tani moja hap wanauza laki 1
2:Madini chuma(mawe haya yana naswa na sumaku)
Kwa yeyote ambay...
Nakuja tena kwenu nikawasihi wale wote wanaaogopa kuanza kilimo hasa Kwa kipind hiki ambacho tunatarajia kuanza msimu wa masika, wataalamu wapo kwa ajili ya kukusaidia na kupunguza adha za...
Nchini china wametengeneza mfumo wa ufatiliaji maendeleo ya kuku kupitia blockchain. Mfumo utasaidia wateja kutouziwa kuku waliokufa au waliokwisha muda wao wa kukaa sokoni na badala yake mnunuzi...
Hi,Am leaving here in Sinza -DSM
Am looking for some people who are ready for Farming business especially Fish Farming to work together for easy achievement,As we know team work is better and...
Mwaka jana nilipokua likizo nilishangazwa na ladha ya machungwa, karibu machungwa yote niliyoyanunua jijini Dar es salaam ladha yake haitafautiani na ile ya malimao.
Baada ya utafiti mdogo...
Mimi ni miongoni mwa watu ambao wanafikiria ni kwa namna gani tunaweza kuhakikisha tunavuna maji ya mvua kwa namna ambayo tunaweza kuyatumia kwenye shughuli zetu za kilimo hasa huko vijijini.
Ni...
Wakuu habari ya ijumaa samahani kama kuna vijana ambao ni mafighter tufanye kilimo cha uyoga hapa dsm nimefanya research inaonekana kinalipa sana ila wakulima ndio shida hivyo kama upo dsm...
Wakaazi wa wilaya ya Kilwa mkoa wa Lindi wanategemea zao la korosho kama zao kuu la biashara na kusahau mazao mengine yanayoweza kubadili maisha yao kiuchumi. Sababu kuu ni kukosa mafunzo na...
Habari! Kwa yeyote mwenye ushauri kuhusu kifaa tajwa hapo juu nakarisha,nahitaji hiko kifaa walau kile cha kuanzia mayai 300,brand ipi nzuri,automatic au manual,bei zake,za hapa bongo au nje ya...
Napenda kujua ni kwa nini kinyesi cha Binadamu hakitumiki kama mbolea?Maana sehemu nyingi ambazo uwa kuna mtitiriko wa kinyesi na kukawa na ulimaji Wa mboga mboga,uwa zinastawi sana.Sasa ni kwa...
Msaada wana JF.
Nahitaji kununua mayai yanayotumiwa kutotoresha broilers, nimejaribu kufanya internet search locally kwa hapa Tanzania sijaambulia information yoyote inayoweza nisaidia.
Kama...
Habari wana JF
Nahitaji partner ya kufuga nae kuku wa kisasa na kienyeji kibiashara anayepatikana mkoa wa Arusha hususani Arusha mjini....akiwa na mabanda na eneo la ufugaji itakuwa vema zaidi...