Antony Abel
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 264
- 142
Nimemwaga mpunga trh 03/01 ila majan yanaota kabla ya mpunga nahitaji kufaham dawa ya kuua majani bila ya madhara kwa mpunga.
Kama majani yanaota kabla ya mpunga basi angalia vizuri hilo shamba kama mpunga haujaoza.Nimemwaga mpunga trh 03/01 ila majan yanaota kabla ya mpunga nahitaji kufaham dawa ya kuua majani bila ya madhara kwa mpunga.
Kwa hivo kutumia rilo nimechelewa?Kama majani yanaota kabla ya mpunga basi angalia vizuri hilo shamba kama mpunga haujaoza.
Wenzio huwa wanafanya hivi, akimwaga mpunga anapiga dawa inaitwa rilo hii dawa huuwa mbegu za majani kwa hiyo majani huota baada ya mpunga kuota.
Kwa hali uliyonayo, tafuta dawa inaitwa 2-4 d( tunaita tufodi) unachanganya na metrine. Ukichanganya vizuri nyasi zitakufa zote na kuacha mpunga wako ukipeta.
Angalizo, hii metrine ni kali sana inahitaji mchanganyo sahihi, la sivyo utaunguza vyote.
Kama huna uhakuka na mchanganyo basi tumia tufodi peke yake itakusaidia.
ni kweli kabisa.Kama majani yanaota kabla ya mpunga basi angalia vizuri hilo shamba kama mpunga haujaoza.
Wenzio huwa wanafanya hivi, akimwaga mpunga anapiga dawa inaitwa rilo hii dawa huuwa mbegu za majani kwa hiyo majani huota baada ya mpunga kuota.
Kwa hali uliyonayo, tafuta dawa inaitwa 2-4 d( tunaita tufodi) unachanganya na metrine. Ukichanganya vizuri nyasi zitakufa zote na kuacha mpunga wako ukipeta.
Angalizo, hii metrine ni kali sana inahitaji mchanganyo sahihi, la sivyo utaunguza vyote.
Kama huna uhakuka na mchanganyo basi tumia tufodi peke yake itakusaidia.