Nejad Rocket
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 298
- 197
Jamani Nina mitende miwili kila mwaka zinaharibika sijui namna zinavyotengenezwa.
Msaada Kwa mwenye ujuzi.
Msaada Kwa mwenye ujuzi.
Be the first to reply,...........!!!!!!!!Jamani Nina mitende miwili kila mwaka zinaharibika sijui namna zinavyotengenezwa.
Msaada Kwa mwenye ujuzi.
Tende ni tundaJamani Nina mitende miwili kila mwaka zinaharibika sijui namna zinavyotengenezwa.
Msaada Kwa mwenye ujuzi.
Yani yanaiva yanapukutika chini kwakuwa siwezi kuyatengeneza kwa ajili ya kuliwaTende ni tunda
Mtende ni mti wake
Jee hayo matunda ndio yanaharibika au mti wake?
Fafanua swali vzr mkuu