No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,737
Sijawanyima msosi mimi wanakula.vizuri tena wananenepa kuliko hao wa madaktari wenu nimesema hao madaktari wenu siwataki kwa kuku wangu bora nitumie hata muarobaini sitaki hata kuwasikia madaktari wa kuku,wanaweka sumu kwenye kuku wanguu ntatumia mwarobaini mwanzo mwisho.Kama hao kuku wanajitegemea wenyewe wewe sio mfugaji wa kuku, ni kuwa hao kuku wanakaa kwako, ni kama mtu ana mmbwa nyumbani lakini hajawahi mnunulia chakula hata siku moja mbwa anakula majalalali tu, huwezi sema kuwa unafuga mbwa ila nikuwa mbwa anaishi kwako.