Nakukunda
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 875
- 1,647
Habari wana JF
Nahitaji partner ya kufuga nae kuku wa kisasa na kienyeji kibiashara anayepatikana mkoa wa Arusha hususani Arusha mjini....akiwa na mabanda na eneo la ufugaji itakuwa vema zaidi maana sina eneo kwa sasa...kwa aliye tayari anipm tuonane kwa mazungumzo zaidi.
Ahsante!!!
Nahitaji partner ya kufuga nae kuku wa kisasa na kienyeji kibiashara anayepatikana mkoa wa Arusha hususani Arusha mjini....akiwa na mabanda na eneo la ufugaji itakuwa vema zaidi maana sina eneo kwa sasa...kwa aliye tayari anipm tuonane kwa mazungumzo zaidi.
Ahsante!!!