farmersdesk
Senior Member
- May 26, 2012
- 164
- 120
UGONJWA WA KUHARA DAM
(Coccidiosis) KWA KUKU:
wadogo ila huathiri zaidi kuku wadogo. _
*Jinsi unavyoambukiza* :
Kula chakula chenye kinyesi au maji yenye vimelea vya ugonjwa huu.
*Dalili* :
Kuharisha kinyesi kilichochanganyika na
damu au kinyesi chenye rangi ya ugoro,
Kuku kudhoofu na kupungua uzito.
Kuku kuzubaa na kushusha mabawa kama
kavaa koti.
Kuku kujitenga na wengine.
Kupoteza hamu ya kula.
•
*Tiba* :
Dawa aina ya Amprolium na ni vizuri ikichanganywa na doxycol au oxyfam20% dawa hizi huchanganywa kwenye maji na
kupewa kuku kwa siku 5 hadi 7.
*Kinga* :
Vifaranga wakifikia umri wa siku saba (7) wapewe Amprolium kwa siku tatu (3) mfululizo, hata
kama dalili za ugonjwa hazijajitokeza.
Tenganisha vifaranga na kuku wakubwa
Kuku wagonjwa watengwe na kupewa tiba mara moja
Wapo chakula kuku wako chenye mchanganyiko wa Ridocox au vigostart.
Zingatia usafi wa banda na vyombo vya chakula.
(Coccidiosis) KWA KUKU:
Na Dr Khalfan 0752367114
Ugonjwa huu husababishwa na vimelea aina ya Protozoa na hushambulia kuku wote wakubwa na wadogo ila huathiri zaidi kuku wadogo. _
*Jinsi unavyoambukiza* :
Kula chakula chenye kinyesi au maji yenye vimelea vya ugonjwa huu.
*Dalili* :
Kuharisha kinyesi kilichochanganyika na
damu au kinyesi chenye rangi ya ugoro,
Kuku kudhoofu na kupungua uzito.
Kuku kuzubaa na kushusha mabawa kama
kavaa koti.
Kuku kujitenga na wengine.
Kupoteza hamu ya kula.
•
*Tiba* :
Dawa aina ya Amprolium na ni vizuri ikichanganywa na doxycol au oxyfam20% dawa hizi huchanganywa kwenye maji na
kupewa kuku kwa siku 5 hadi 7.
*Kinga* :
Vifaranga wakifikia umri wa siku saba (7) wapewe Amprolium kwa siku tatu (3) mfululizo, hata
kama dalili za ugonjwa hazijajitokeza.
Tenganisha vifaranga na kuku wakubwa
Kuku wagonjwa watengwe na kupewa tiba mara moja
Wapo chakula kuku wako chenye mchanganyiko wa Ridocox au vigostart.
Zingatia usafi wa banda na vyombo vya chakula.