Kinaweza kutumika sema vingine ni hatari sana. Hapana chezeaNapenda kujua ni kwa nini kinyesi cha Binadamu hakitumiki kama mbolea?Maana sehemu nyingi ambazo uwa kuna mtitiriko wa kinyesi na kukawa na ulimaji Wa mboga mboga,uwa zinastawi sana.Sasa ni kwa nini kisitumike kama mbolea?
Tafta kitabu kilichoandikwa! Toilet that make composite hapo utajua kama zinatumika tena sana tu
Itaunguza mimea, [emoji2] [emoji2] [emoji2]Napenda kujua ni kwa nini kinyesi cha Binadamu hakitumiki kama mbolea?Maana sehemu nyingi ambazo uwa kuna mtitiriko wa kinyesi na kukawa na ulimaji Wa mboga mboga,uwa zinastawi sana.Sasa ni kwa nini kisitumike kama mbolea?
haswaa, chinesse zaidi ya miaka elfu moja walikua wanatumia kinyesi cha wanyama na binadamu, miaka ya 1952 inasemakana 75% kinyesi cha binadamu kilikua kinakusanywa majumbanj kwa ajili ya mbolea mashambani hasa kwenye mpunga, japo baadae miaka ya 1956 zaidi ya 90% ambapo inakadiliwa 300 million tons, inasemekana maeneo ya vijijini nguruwe pia walikua wanapewa kinyesi kama sehemu 😛 chakula chao. Study zinaonyesha zaidi kuwa mnamo mwaka huo huo 1956 jiji la Canton kuna idad kubwa ya watu walikua wanakusanya kinyesi kwa majumbani kwenye ndoo kwa ajili ya mbolea hii ilipelekea movement iliyojulikana kama collectivization movement ya 1956.Niliwaona wachina wanazalisha nyanya na cabbage kubwa mara mbili ya zile tunazoziaona sokoni na wakasema wao wanatumia samadi yao wenyewe
haswaa, chinesse zaidi ya miaka elfu moja walikua wanatumia kinyesi cha wanyama na binadamu, miaka ya 1952 inasemakana 75% kinyesi cha binadamu kilikua kinakusanywa majumbanj kwa ajili ya mbolea mashambani hasa kwenye mpunga, japo baadae miaka ya 1956 zaidi ya 90% ambapo inakadiliwa 300 million tons, inasemekana maeneo ya vijijini nguruwe pia walikua wanapewa kinyesi kama sehemu 😛 chakula chao. Study zinaonyesha zaidi kuwa mnamo mwaka huo huo 1956 jiji la Canton kuna idad kubwa ya watu walikua wanakusanya kinyesi kwa majumbani kwenye ndoo kwa ajili ya mbolea hii ilipelekea movement iliyojulikana kama collectivization movement ya 1956.
Inasadikika kuwa zaidi ya ya peasants 15, 000 community members walikua wanaingia mijini kila siku wakati wa usiku kukusanya kinyesi majumbani hii ilipelekea kusambaa kwa vinyesi vingi mtaani kutokana na vifaa vya kubebea kupasuka au kuvuja mpaka ikabidi taasisi maalumu zisajiliwe na watu wakawa wanauza kabisa kinyesi chao. japo kinyesi kilikua kinakua treated na kinaifadhiwa sehemu takribani mwezi na zaidi kwa ajili ya matumizi ua shamba baadae..