Msaada INCUBATOR

Msaada INCUBATOR

Mediocrist

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
1,709
Reaction score
994
Habari! Kwa yeyote mwenye ushauri kuhusu kifaa tajwa hapo juu nakarisha,nahitaji hiko kifaa walau kile cha kuanzia mayai 300,brand ipi nzuri,automatic au manual,bei zake,za hapa bongo au nje ya nchi ni nzuri na vipi kuhusu za china na mataifa mengine na kama nitaagiza nje je kodi ipoje maana hii serikali ya viwanda sasa iko excempted kwa machine kama hizo na mengine zaidi sina uzoefu juu ya hili pia kama kuna sehemu nimekosea naruhusu pia kukosolewa.Shukrani
 
Habari! Kwa yeyote mwenye ushauri kuhusu kifaa tajwa hapo juu nakarisha,nahitaji hiko kifaa walau kile cha kuanzia mayai 300,brand ipi nzuri,automatic au manual,bei zake,za hapa bongo au nje ya nchi ni nzuri na vipi kuhusu za china na mataifa mengine na kama nitaagiza nje je kodi ipoje maana hii serikali ya viwanda sasa iko excempted kwa machine kama hizo na mengine zaidi sina uzoefu juu ya hili pia kama kuna sehemu nimekosea naruhusu pia kukosolewa.Shukrani
Hongera sana. Ukihitaji mashine hizo hapahapa Tanzania utazipata. Zipo zilizoundwa ndani ya nchi na nyingine zimeingizwa kutoka nje ya nchi. Ukiingiaa Google utawapata wauzaji wengi tu. Andika kwa kiswahili ili upate orodha kubwa ya wauzaji wa Tz. Kuagiza nje, changamoto kubwa ni gharama za kusafirisha zipo juu sana, inaweza kuwa zaidi ya manunuzi!
 
Za china zina bei nafuu halafu ni complecated sio imara sans,za ulaya NI Bors zaidi
 
Shukrani mkuu naweza zipataje hizo
Unaagiza kutoka nje,ila kupunguza gharama ya incubator,Mimi huwa naagiza controller za joto kutoka ulaya ,nakuja kufunga na kutengeneza jumba mwenyewe
 
Unaagiza kutoka nje,ila kupunguza gharama ya incubator,Mimi huwa naagiza controller za joto kutoka ulaya ,nakuja kufunga na kutengeneza jumba mwenyewe
Mkuu sory naparamia Maada! Ivi ni ni Kweli kutotoresha vifaranga kuna msimu? Hii ni baada ya kupeleka zaidi ya maara mbili kwenye kituo cha kutotoresha bila mafanikio hatimae nikaambiwa msimu wa kutotoresha bado! Naomba kujua jamani
 
Unaagiza kutoka nje,ila kupunguza gharama ya incubator,Mimi huwa naagiza controller za joto kutoka ulaya ,nakuja kufunga na kutengeneza jumba mwenyewe
Anhaa umenipa mwanga unaweza nisaidia brands ya hiyo controller na specs zake,markert ili nifanye hivo pia mkuu
 
Mkuu sory naparamia Maada! Ivi ni ni Kweli kutotoresha vifaranga kuna msimu? Hii ni baada ya kupeleka zaidi ya maara mbili kwenye kituo cha kutotoresha bila mafanikio hatimae nikaambiwa msimu wa kutotoresha bado! Naomba kujua jamani
Sio kweli mkuu,Mimi natotolesha mwaka mzima hakuna msimu ,labla machine zinazotumia mafuta ya taa nimewaki kusikia msimu wa baridi ndio zinasumbua
 
Anhaa umenipa mwanga unaweza nisaidia brands ya hiyo controller na specs zake,markert ili nifanye hivo pia mkuu
Nazo tumia Mimi ni positive temperature thermoregulator kutoka Ukraine,za Ukraine zina bei nafuu,yoyote inayotoka Ukraine minaona NI nzuri
 
Incubator za kutumia umeme wa solar zipo? Kwa mwenye uwelewa wa incubator za solar anisaidie kwa kuzingatia ubora na udhaifu wake.
 
Unaagiza kutoka nje,ila kupunguza gharama ya incubator,Mimi huwa naagiza controller za joto kutoka ulaya ,nakuja kufunga na kutengeneza jumba mwenyewe

mkuu unaweza kutumegemea utaalamu wa kutengeza hayo maboksi
 
Incubator za kutumia umeme wa solar zipo? Kwa mwenye uwelewa wa incubator za solar anisaidie kwa kuzingatia ubora na udhaifu wake.
Za solar pekee zipo,kwani huendagi maonyesho ya nane,zinaletwaga,ila gharama zipo kwenye solar ,inafika mpaka milioni mbili,ila nzuri ni zile zinazo combine solar na gas,ni nafuu sana kwenye matumizi,mtungi wa kilo sita unatosha kwa muanguo mmoja (Sikh 21),solar yake haizidi 120000/=
 
Tunauza vyungu vya Kukuzia Vifaranga kila kimoja kinahudumia had kuku 100 joto lake hudum kwa saa 12.Kimoja kinauzwa shs15000.Kwa dar unaletewa Hadi kwako mikoani tunatuwatumia Bila tatizo Kwann upate hasara za kukatikakatika kwa umeme na mvua zilizoanza. Tupo Temeke Vetenary karibu Na Lusaka Bar Piga 0764639286 au 0715476529 uhudumiwe
images-1.jpeg
2018-01-10-13-03-40-2105901430.jpeg
images.jpeg
images-2.jpeg
2018-01-10-13-03-40-2105901430.jpeg
 

Attachments

  • 2018-01-10-13-02-32--641283348.jpeg
    2018-01-10-13-02-32--641283348.jpeg
    7.8 KB · Views: 73
Karibu mkuu sisi ni watengenezaji wa hizo mashine za incubator

Kwa maelezo zaidi ili ufahamu utendaji wake unaweza piga simu
0713 852 296
0755 450 970
0787 309 396

Au fika ofisini kwetu
DAR ES SALAAM
Ubungo Riverside
Karibu sana
 
Sisi ni watengenezaji na wauzaji wa mashine za Incubator za aina mbili

Zinazotumia umeme
Zinazotumia nishati ya jua na gas

Tupo Dar es salaam
Ubungo Riverside

Kwa mawasiliano zaidi
0713 852 296
0755 450 970
0787 309 396

Karibu sana
 
Back
Top Bottom