Liko mkuranga ipi??Hbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.
Acura naomba msaada nitapataje hiyo mbegu ya minazi ya kisasa?Weka minazi.. Taduta miche ya kisasa ila itakuchukua takriban miaka mitatu kuanza kuvuna matundaView attachment 368870View attachment 368871
Au Kama Hauzi Akupatie Tu Ulifanyie Majaribio Ya Zao Linalostawi Baada Ya Hapo Ndo Atajua Aanzie Wapi Na Aishie Wapi ... !Liko mkuranga ipi??
Kama huna cha kulifanyia basi niuzie tu tujue moja
Kaka mi nataka kulima mazao ya kudumu, sasa akinipa kwa majaribio haitofaaAu Kama Hauzi Akupatie Tu Ulifanyie Majaribio Ya Zao Linalostawi Baada Ya Hapo Ndo Atajua Aanzie Wapi Na Aishie Wapi ... !
duhhh,kuu hii picha minazik weli au edited,duhhhhLima mmea...
Yeah.. Bozo xo sites GMO, yaani genetically modified crops...duhhh,kuu hii picha minazik weli au edited,duhhhh
Mkuu, habari ya wewe. Mimi pia nina shamba la ekari 10 Kimanzichana so i assume tuko kwenye same zone. Sijajua unataka kufanya kilimo cha aina gani ila nikushauri kama ninavyofanya mimi. Binafsi ninalima mihogo kwa sasa na mwezi wa kumi na moja natarajia kulima ufuta pia. Mihogo mwezi wa tisa ndio msimu mzuri kwa kupanda, ufuta mwezi wa kumi na moja. Kama una mtaji wa kutosha pia unaweza kulima Nanasi, Karanga na Matikiti maji maana hayo mazao yote yanakubali 100%. Karibu kwenye kilimo mkuuHbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.
Kibiashara tunashauri kulima mazao ya muda mfupi yakukupa kipato na kuweza kurudia mara kazaa mfano Tikiti,Nyanya,Tango,Nyanya chungu na pilipili mbuziHbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.