Mi nimeshindwa kuhielewa hii cm kwani hata nikizima data lkn chaji inaisha haraka,na nikizima data inaandika 3G.Ni nini tatizo setting au kuna kitu kinasababisha?msaada wenu wadau.
Nina video ambayo ni 720p MP4 lakini chaa ajabu kwenye DVD player yangu haitaki kuplay na DVD inasupport MP4 msaana nifanyaje iweze kuplay
Hizo video zipo kwenye Flash zingine zinaplay zingine...
Wakuu nahitaji kutengeneza PC yangu ya toshiba screen imepasuka ndani afu pia kutengeneza charging system yake maana ikiwa on PC haipitishi chaji hadi iwe off. Naomba mwenye uwezo anitafute...
Wanajamvini habari,
Hivi karibuni vodacom wamekua wakituma hilo tangazo lao kwa wateja wao had mara nne kwa siku, na linaudh kwa kiasi maana unaweza kuwa umetulia gafla sms inaingia kuangalia ni...
Unaweza kufanya pc yako inayo tumia window os kama vile window 7,8 na 10 kuwa na mwinekano mzuri wa Pc aina ya Apple... Chakufanya nikudownload na kuinstall kitu kinacho itwa Yosemite skinpack...
Katika taaluma ya Film and Video Production, siku hizi wengi wetu tunajua ku-oparate camera, ku-shoot na kufanya editing. Lakini changamoto kubwa ipo katika Motion Graphics and Compositing.
Sio...
Nina imani wote mu wazima! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ningependa kujua bei ya CPU blower (mashine ya kufuta vumbi kwenye PC) hasa kwa maeneo ya Arusha na Moshi.
Pili ningependa kupata...
wakuu naitaji Database au Program ambayo inaweza kukidhi maitaji yote ya hospital, kuanzia mapokezi hadi pharmacy kwa yeyote ambae anajua kufanya hiyo mambo ani inbox
wakuu naitaji database au program ambayo itaweza kukudhi maitaji ya Hosp... Mambo yote ya usajili wa wagonjwa... Mtu ambae anaweza kufanya hiyo kitu ani anibox
FAT32, NTFS, exFAT are three different files systems used to store data in a storage device. Created by Microsoft, they have their pros and cons which you might want to know and will allow you to...
Juzi kati nimepokea hela toka ebay, walinirefund some money kama 35$, nikahakikisha kabisa, ila nimeenda bank kuangalia kama imeingia kwenye account yangu wanasema HQ hawajui kinachoendelea na...
wakuu nisaidieni nina memory ya gb 8 ila tatzo imeharibika inaniandika MEMORY IS BLANK najaribu kuERASE lakini inagoma haisomi hata kwenye simu kwamba ipo
nifanyeje ama.nitumie app gani????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.