Msaada kuhusu simu ya huawei p7

Msaada kuhusu simu ya huawei p7

lamisa

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
225
Reaction score
224
Mi nimeshindwa kuhielewa hii cm kwani hata nikizima data lkn chaji inaisha haraka,na nikizima data inaandika 3G.Ni nini tatizo setting au kuna kitu kinasababisha?msaada wenu wadau.
 
IMG_20161114_205214.JPG

Hapa data ziko off, lakini hiyo 3G inaonesha mnara uliopo una 3G.
 
IMG_20161114_205236.JPG

Hapa data ziko on na mnara una 3G, unaweza ona kuna 3G ipo kwenye bar ya mnara na mara nyingine inakuwa H+.
 
Mkuu ukitazama hizo post hapo juu unaweza ona kama ni hicho kitu hukielewa au ni shida nyingine. Kuhusu battery hapa jaribu kucontrol mwanga set kwenye auto, pia apps ambazo zinakula sana chaji ziuninstall.
 
Cha kwanza utuambie umeanza kuitumia lini. Na hapo kabla ilikuaje, kama haikua hivo jua kuna virus . Virus hupelekea sim yako kujiwasha data hata kama ulizma. Lakn kama ni ya kichina kuwa na 3g ni kawaida na utakuta hiyo 3g haifanyi kaz
 
Hiyo 3g kwa uzoefu wangu ni ya kichina na huwa ipo hapo milele bila kazi.
 
Back
Top Bottom