Tigopesa application ina ukweli wowote?

Tigopesa application ina ukweli wowote?

Mercator

Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
37
Reaction score
18
Kama heading inavyojieleza, nimedownload application ya tigopesa kwenye playstore. Sasa mashaka yangu, je iko poa au ni majanga?
 
Iko vizuri, lakini simu yako ikiwa rooted unakuwa ktk risk kubwa ya kudukuliwa.
 
Kama heading inavyojieleza nimedownload application ya tigopesa kwenye playstore sasa mashaka yangu je iko poa au ni majanga
Iko poa sana ukshaconnect hata uktoa line unaweza tuma na kupokea pesa as long as una internet.
Mimi binafsi nliunga line nikaitoa sijawahi irudisha nna miez ka mitatu natuma na kupokea ela.
Aalafu uzuri unachugua mjna kwenye phonebook kama vile unaandika msg
 
Je hii application unaweza kufanya miamala kama ya uwakala wa tigopesa au haiko hivyo
 
Kama heading inavyojieleza, nimedownload application ya tigopesa kwenye playstore. Sasa mashaka yangu, je iko poa au ni majanga?
MAJANGA TU, HAMIA TIMU SIBANDUKI...WAPO VIZURI KULIKO HAO JAMAA WA KABANG...!
 
Iko poa sana ukshaconnect hata uktoa line unaweza tuma na kupokea pesa as long as una internet.
Mimi binafsi nliunga line nikaitoa sijawahi irudisha nna miez ka mitatu natuma na kupokea ela.
Aalafu uzuri unachugua mjna kwenye phonebook kama vile unaandika msg
Bro mbona kama kituko vile? unawezaje kufanya transaction pindi umetoa line? Internet inafanyaje kazi bila line? Duu hii ipo Tanzania tuu
 
Bro mbona kama kituko vile? unawezaje kufanya transaction pindi umetoa line? Internet inafanyaje kazi bila line? Duu hii ipo Tanzania tuu
Nina maana unaweza weka line ya mtandao mwingine au line ya tgo lakini ya siyo yenye tgo pesa uliyo connect kwenye app au ukatumia wifi.
 
Bro mbona kama kituko vile? unawezaje kufanya transaction pindi umetoa line? Internet inafanyaje kazi bila line? Duu hii ipo Tanzania tuu
kama nimemwelewa vzur anamaanisha line ya tigo ndo kaitoa kwenye simu na anatumia line ya mtandao mwingine kuaccess hyo app ya tigopesa. mfano unainstall wasapu na kusajir line ya voda lkn hata isipokuwepo hewan hyo voda utapata all services za wasapu app
 
Iko vizur, kwenye security bado sana . Mfano mimi hacker niko xxxxfj ni mtz , nitadownload hiyo app na kwa kutumia isp za xxxxfj nitaconnect na server za tigo pessa . Kwa vile nimeandika input method nzuri yenye keylogger , wa tz wanapenda sana input method nzur ndio maana wana nunua sana simu za tetino. Warning if u r using tina phones ie uuwei or tetino dont download and use tigo pesa app. TUMIA USSD CODE
 
Kati ya app ya kijinga ndo hiyo.. Haina maana umlazimishe mtumiaji atumie lain hiyo hiyo na mb za laini hiyo hiyo..
 
Sasa wewe app kwenye simu yako unataka itumie mb za line ipi?
Hujanielewa.. Hii app inakulizimisha utumie mb za laini uliojisajilia nayo kwenye tigo pesa.. Huwezi kutumia mb ulizo nazo kwenye laini nyingine hata kama ni laini nyingine ya tigo... Huwezi pia kumia wi-fi . Sasa inahaja gani si bora ukatumia tu USSD Code ??
Kwa maoni yangu nilifikiri itakuwa suluhisho kwa wale ambao wana simu zaidi ya moja unashusha app unajisajili unatapa huduma km ilivyo kwa app ya NMB.
 
Kati ya app ya kijinga ndo hiyo.. Haina maana umlazimishe mtumiaji atumie lain hiyo hiyo na mb za laini hiyo hiyo..
Siyo kweli... unapojiunga lazima line iwepo kwenye simu. Ukishajiunga hata ukiitoa ukaweka line ya mtandao wowote inapiga kazi.
Ni nzuri sana hata ukiwa nje unaweza check salio lako tuma na kupokea tigo pesa as long as kuna internet basi.
 
Hujanielewa.. Hii app inakulizimisha utumie mb za laini uliojisajilia nayo kwenye tigo pesa.. Huwezi kutumia mb ulizo nazo kwenye laini nyingine hata kama ni laini nyingine ya tigo... Huwezi pia kumia wi-fi . Sasa inahaja gani si bora ukatumia tu USSD Code ??
Kwa maoni yangu nilifikiri itakuwa suluhisho kwa wale ambao wana simu zaidi ya moja unashusha app unajisajili unatapa huduma km ilivyo kwa app ya NMB.
Sio kweli ukishajiunga unatoa unaweza hata weka line ya mtandao mwingine mimi nilijiunga line nikatoa na natumia halotel au voda lakin bado napata huduma.
Nina mwez wa tatu sasa
 
Sio kweli ukishajiunga unatoa unaweza hata weka line ya mtandao mwingine mimi nilijiunga line nikatoa na natumia halotel au voda lakin bado napata huduma.
Nina mwez wa tatu sasa
Lini umejaribu mkuu?? Mi jp nimeishusha nilipo jaribu kujisajili ikanigomea use tigo network ndo majibu yake
 
Lini umejaribu mkuu?? Mi jp nimeishusha nilipo jaribu kujisajili ikanigomea use tigo network ndo majibu yake
Mpaka sasa naitumia. Unapokuwa unajisajili inabidi utumie internet ya line ya tigo unayojisajilia ukishamaliza basi hata ukiitoa.
 
Back
Top Bottom