Sio kwenda Dukani na kununua kioo,bali apeleke kwa mafundi computer wao ndo watajua kioo gani kinafaa,kuna vioo vingine akifunga tu vina lipuka,anaweza akatumia ghalama kubwa Kama hana ujuzi wa hivyo vituHivi hii inahitaji msaada au ni kwenda dukani na kununua hicho kioo!!?