Setting za dish LA azam

Setting za dish LA azam

bulbulmunar

Member
Joined
Dec 17, 2015
Posts
56
Reaction score
14
Habarini za mida kama hii...naombeni msaada wenu nilihamisha dish langu LA azam kutoka eneo moja kwenda lingine ..hivyo nimelipandisha juu LiMeleta signal ila Chanel zilizokuja sizo zilizokuwepo...Na hazionyeshi..mnisaidie watu wangu Wa Nguvu.
 
Zilizoingia ni zipi, hapo utakuwa hujaipata satellite ya 7b
 
Hakikisha dishi linakuwa kwenye 7°East.
Nafikiri zile frequencies na Intelsat ukifanya autosearch zitakuja zenyewe.
 
<<< MAUMIVU yakizidi MUONE daktari <<< Kufa kufaaaaaana somo Ukishindwa wape watu DILI hilooooooo>>
 
Habarini za mida kama hii...naombeni msaada wenu nilihamisha dish langu LA azam kutoka eneo moja kwenda lingine ..hivyo nimelipandisha juu LiMeleta signal ila Chanel zilizokuja sizo zilizokuwepo...Na hazionyeshi..mnisaidie watu wangu Wa Nguvu.
Mkuu upo wapi tusolve hilo tatizo
 
Back
Top Bottom