Jinsi ya ku-UNLOCK simu yako

Jinsi ya ku-UNLOCK simu yako

Chiwaso

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
5,725
Reaction score
3,796
Tambua IMEI yako kisha ijaze kwenye sehemu ya kutafutia, baada ya hapo click UNLOCK



Simple and easy. Fuata Link ifuatayo=> Free your phone
 
Chiwaso
Mtaalamu nisaidie hii kamanda..

MODEL: V300-2AVDTZ1

IMEI:
356774071674717


OTHER:
FCC ID:2ACCJH053
VFD 300
 
Sass mkuu unlock hiyo ipi, ya sim network au ya laini zote mkuuu, plz fafanua kidogo tupate mwangaza
 
Na simu network zimegawanyika, kuna zile za kutoka nje ya nchi na
 
hapo naona kuna online au creditcard payment ....
hiyo free inapatikana wapi? au ilikuwa kipindi cha january
 
Nina Huawei Home router.
Model:HUAWEI Lte CPE B593s-22

IMEI:860091023456914

Msaada waku unlock niwenatumia line zote kwa sasa ni smile tu.
Chiwaso inawezekana?
 
Chiwaso mwenyewe baada ya kuona maswali magumu kala chocho.
 
Back
Top Bottom